Mpina ataka kumuumbua Waziri Mwigulu bungeni, apatwa na kigugumizi, Spika ambana "mi sielewi"

Mpina ataka kumuumbua Waziri Mwigulu bungeni, apatwa na kigugumizi, Spika ambana "mi sielewi"

pumbavu kabisa waziri wa fedha anasoma kila kitu, kuna first class kibao ni za kubundi tu na kuiba nyota za watu kwa uchawi, huyu ni bogus kbsa. Ila kwa maslahi ya awamu hii jiandaeni kiakili huyu hatoki kamwe hio wizara, anafiti maslahi ya behind the scene
 
Tofauti yake ni nn? Kwa sisi tusiojua kitu?
Taxpayers(walipakodi) wasiporidhika na na kodi waliopangiwa kulipa na TRA kwa kuamini kuwa wameonewa/ wamepangiwa kodi kubwa kuliko biashara zao. Wana nafasi ya kupinga maamuzi hayo ya kulipa kodi kisheria (tax appeal)
Ambapo zipo njia tatu za kupinga maamuzi hayo ya kodi/ Appeallate machinery ambazo zinapaswa kufatwa kwa mtiririko kama ifuatavyo:-

1. TRAB -Appeals to the Tax reference Appeal Board.
Na kama matokeo yatatoka na mlipakodi asiporidhika na hayo matokeo basi ana nafasi nyingne ya kua appeal ktk

2.TRAT -Appeals to the Tribunal.
Hapa pia kama mlipakodi hata ridhika na maamuzi yalitolewa, ana nafasi ya mwsho ya appeal.

3. Appeals to the Court of Appeal.
Hapa ndipo sehemu ya mwsho ambayo mlipakodi ana nafasi ya ku appeal na maamuzi yatakayotolewa ndio mwisho.
 
Deep state saidieni hii nchi na mikono ya wahujumu uchumi kama mlivyo fanya kwenye issues za Meremeta, Tangold, Epa,Richmond , Escrow , Majengo pacha ya BOT M, RADAR na BAE system scandles .
Sijui kama wamekusikia na kukuelewa unamaanisha nini
 
Deep state saidieni hii nchi na mikono ya wahujumu uchumi kama mlivyo fanya kwenye issues za Meremeta, Tangold, Epa,Richmond , Escrow , Majengo pacha ya BOT M, RADAR na BAE system scandles .
Deep State iliyopo ni wale wanaoabudu kwenye inheritamces...

Wenye akili wananielewa
 
Taxpayers(walipakodi) wasiporidhika na na kodi waliopangiwa kulipa na TRA kwa kuamini kuwa wameonewa/ wamepangiwa kodi kubwa kuliko biashara zao. Wana nafasi ya kupinga maamuzi hayo ya kulipa kodi kisheria (tax appeal)
Ambapo zipo njia tatu za kupinga maamuzi hayo ya kodi/ Appeallate machinery

1. TRAB -Appeals to the Tax reference Appeal Board.
Na kama matokeo yatatoka na mlipakodi asiporidhika na hayo matokeo basi ana nafasi nyingne ya kua appeal ktk
2.TRAT -Appeals to the Tribunal.
Hapa pia kama mlipakodi hata ridhika na maamuzi yalitolewa, ana nafasi ya mwsho ya appeal
3. Appeals to the Court of Appeal.
Hapa ndipo sehemu ya mwsho ambayo mlipakodi ana nafasi ya ku appeal na maamuzi yatakayotolewa ndio mwisho.
Sasa tufafanulie kauli ya Madelu
Alikuwa analiambia nini Taifa?
 
Muulize muuliza swali ,yeye kaziona wapi?

Ni miaka mingi tunasikia hili swala la Rufaa za Kodi ila hakuna kinachoeleseka..

Au haya Marion ndio Yale ya makinikia na kishika uchumba? [emoji16][emoji16]..

Tzn iwe na hizo pesa izitoe wapi kwanza.
Wewe jamaa huwa pumbavu sana
 
Taxpayers(walipakodi) wasiporidhika na na kodi waliopangiwa kulipa na TRA kwa kuamini kuwa wameonewa/ wamepangiwa kodi kubwa kuliko biashara zao. Wana nafasi ya kupinga maamuzi hayo ya kulipa kodi kisheria (tax appeal)
Ambapo zipo njia tatu za kupinga maamuzi hayo ya kodi/ Appeallate machinery ambazo zinapaswa kufatwa kwa mtiririko kama ifuatavyo:-

1. TRAB -Appeals to the Tax reference Appeal Board.
Na kama matokeo yatatoka na mlipakodi asiporidhika na hayo matokeo basi ana nafasi nyingne ya kua appeal ktk

2.TRAT -Appeals to the Tribunal.
Hapa pia kama mlipakodi hata ridhika na maamuzi yalitolewa, ana nafasi ya mwsho ya appeal.

3. Appeals to the Court of Appeal.
Hapa ndipo sehemu ya mwsho ambayo mlipakodi ana nafasi ya ku appeal na maamuzi yatakayotolewa ndio mwisho.
Safi niongezee kidogo maana bado watu watapata ukakasi hizo tril 300+ zimepatikanaje...? Ni hivi kama umekadiriwa kulipa kiasi fulan cha kodi na ww hukuridhika hatua ya kwanza ni kukata rufaa kwa commissioner mkuu wa kodi wa Tz...na akitoa majibu na bado hukuridhika nayo basi kuna board mbili...ambazo ni Trab na Trat....lakin kabla ya kuzifikia hiz board kwa kiasi ulicho kadiriwa lazima ulipe 1/3 ya kod uliyokadiriwa bila kujali umeonewa au laah..na hapo utaanza Trab...baada ya ww kuona commissner general amekuonea...lakin kama Trab watatoa majibu kama yalivyotoka kwa commsner general..na bado ukawa hujakubal bas unashauria kuaapeal kwa Trat ...Ambayo nayo ikitoa maamuz ambayo hujayakubali....bas utaenda court of appeal na hapa ni final....sasa kama kodi umeambiwa ulipe bil 700 na ww umeona umeonewa lazima ulipe 1/3 ya bil 700 thn ndio uendelee na rufaa...sasa hii 1/3 haiendi kwanza Tra mpaka kes imalizike....ndio hizo trl 300 zipo wap...?? Kutwa kutusumbua tuu yaan
 
Yaani trillion 360 si tunatupa shida chini na kuweka mikono juu. Tunabanjuka tu.

Ila kwa uchumi wetu hii hela naona kama porojo, inafikaje hii ni madeni ya muda gani haya?
 
-If the taxpayer is being aggrieved by the decision of the Commissioner General,
-The taxpayer may appeal to Tax Revenue Appeals Board (TRAB) for determination of the case
-If the complainant is not satisfied with the decision of TRAB, the aggrieved party may decide to send an appeal to Tax Revenue Appeals Tribunal ((TRAT) for determination.
 
Eti ukoo wa panya upojeee. Apa mekaa mahali nasikia ....... Ni sawa na ukoo wa panya.
 
Hivi anamaanisha kuwa hizo Trilioni ziko tumboni mwa Palamgamba na mzoga wake?
 
Back
Top Bottom