Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kawaida tu hiyo ndio trab na trat sasa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tax Revenue Appeal Board na Tax Revenue Appeal TribunalHivi virefu vya TRAB na TRAT ni nini?
PhD mwenzake, aliyekalia kile kiti kikubwa leo hakuyajua haya. Akauliza mara mbili mbili maana ya haya maneno!TRAB=Tax Revenue Appeals Board maarufu Kama 'Board'.
TRAT=Tax Revenue Appeals Tribunal maarufu Kama 'Tribunal.'
Kwani pale si anakuwa anasoma, i mean anakuwa ashaandika?TRAB = Tax Revenue Appeals Board
TRAT = Tax Revenue Appeals Tribunal
Angalau angeelezea maana yake kwanza ingemsaidia.
Ile ya leo iliitwa sucker punchTRAB = Tax Revenue Appeals Board
TRAT = Tax Revenue Appeals Tribunal
Angalau angeelezea maana yake kwanza ingemsaidia.
Sio kweli, kirefu chake ni yayayayayayayayayayaaTax Revenue Appeal Board na Tax Revenue Appeal Tribunal
Mam yumo humu anasoma comments wenda akafanya yake. Hivi wanaandikaga cha kuongea bungeni au wanatoa kichwani?Ikumbukwe Waziri wa fedha ana PhD ya Uchumi.
Na wewe mwongo vile vile, mskilize vizuri PRESIDA wa mastone harafu urudi humuSio kweli, kirefu chake ni yayayayayayayayayayaa
Yaani niliona aibu mimi! Nikasema kweli uchawi upo... laana ya tozoIle ya leo iliitwa sucker punch
Walitaka kumpiga juju Ili wakalie Kiti.Unaweza kuzungumziaje hali iliyomkuta Mh. Waziri wa fedha leo bungeni??
Usiongee kirahisi hivyo mshika fedha za nchi kaupiga mwingisanaNi kawaida tu
Inatokea mtu kusahau kirefu cha neno flani
TRAB-Tax Revenue Appeals Board
TRAT-hii ni Tribunal
Then uliza ni bei gani kasaini leo kama posho[emoji2827]Yaani niliona aibu mimi! Nikasema kweli uchawi upo... laana ya tozo
TOZO unajifanya umeziba masikio au huoni kinachoendelea?Kosa la mwigulu ni nn?