Mpina: Kifungu kilichotumiwa na Spika Tulia kunituhumu na kunihukumu hakipo!

hii ndio ile inaitwa ujuaji mwingi Mbele kiza 🤣

kwamba eti mzalendo anapeleka uongo na upotoshaji wake mwenyewe wa kubuni na kutunga mahakamani 🐒

hivi anatumia akili au nanatumia forces za upotoshaji za mwabukusi kwamba katika hali ya dharura tunatumia utaratibu anaotaka yeye kusolve changamoto za nchi 🤣
 
Wasije wakamfilikunjombe akiangalia tu, ndo hofu yangu

Nia yao ilikua hiyo ndio maana wamehamaki kuwa alipoongea na vyombo vya habari. Walidhani atawaletea ushahidi halafu wakishaupokea na kugundua kuwa taarifa yake ni ya kweli basi wangetafuta namna mbaya sana halafu wananchi tungeshangaa tu mmtu ameangushwa chali . Kamati inamwagiwa mabilini mengine wanagawana na monita wao wanasema ushahidi na taarifa yake haina ukweli wowote na hapo wananchi tusingejua chocho tena kuhusiana na Wizi na utapeli huo mkubwa uliofanya na wanaCCM na serikali yao .
 
Garma
 
Hahaha zitto junior sikiliza vizuri ukija uwe na hoja usije ukaanza kuleta uchawa.
Huyu ni mropokaji tu anayetafuta attention. Hata hiyo kanuni anayolalamikia hawezi thibitisha. Mimi sijawahi kuunga mkono haya mafisadi ya CCM maana ni wasaka vyeo. Huyu akiteuliwa uwaziri na samia kabla ya 2025 mtakuja kuona atakavyogeuka chawa ndio mtanielewa. Gwajima yuko wapi? Polepole yuko wapi, na kunambi yuko wapi??
 
Hata kama wasipotenda Haki tulishawaona tulia akili yake ipo uchi na anatetea majambazi wenzake, Hana akili wala uwezo wa kupingana kihoja na mpina, mkimbizi Bashe ndio kabisa debe tupu lilishindwa hata kusimama kujibu linatetewa kama haliwezi kuongea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…