Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, ni bora wakae kimya

Mkuu anzisha tukuunge mkono, andiko lako hapa jukwaani bila vitendo ni utumbo kama utombo mwingine tu, unataka nani aanze? anza wewe tukuunge mkono
 
Ardhi ipi unayozungumzia?
 
Hata upinzani unaojinasibi unawatetea watanzania wamekaa kimya...Huu ni msiba mzito sana Kwa nchi yetu
Siyo kweli. Lisu ameliongelea suala la ufisadi kwenye sukari wakati wa mikutano yake.
 
Kwa hili mimi sipo na Mpina,yani anaona bora waTz tungepata tabu ya sukari kwa ajili ya watu wachache wanaocheza na sheria mfu za manunuzi ili watuumize,badfkn zake.
 
Chadema wanapoteza muda tu,
Hao wanao hangaika kukiamsha hiki kizazi usingizini, kizazi ambacho hakitaki kuamka wanajichosha,
2015 to 2023 na kuendelea wali receive worst treatment ever, kuna mtanzania alijitokeza kupaza kelele kwa ajili yao? Nope
 
Luhaga Mpina ametemwa na maccm yenzake ndo maana anaruka ruka mbona kipindi cha magufuli hatukuona akionyesha movement yoyote.. Mi sasa hv sitaki kujua chochote na fight na maisha yangu ila mtu asiingie anga zangu.
 
Mkuu anzisha tukuunge mkono, andiko lako hapa jukwaani bila vitendo ni utumbo kama utombo mwingine tu, unataka nani aanze? anza wewe tukuunge mkono
Hii nchi mpaka mje muamke sijui nini kitokee
 
Kwa hili mimi sipo na Mpina,yani anaona bora waTz tungepata tabu ya sukari kwa ajili ya watu wachache wanaocheza na sheria mfu za manunuzi ili watuumize,badfkn zake.
Mpina na bashe ninani aliye vunja Sheria za manunuzi?
 
Luhaga Mpina ametemwa na maccm yenzake ndo maana anaruka ruka mbona kipindi cha magufuli hatukuona akionyesha movement yoyote.. Mi sasa hv sitaki kujua chochote na fight na maisha yangu ila mtu asiingie anga zangu.
Anga zako washaingia tayari unataka waingiaeje
 
Kwa hili mimi sipo na Mpina,yani anaona bora waTz tungepata tabu ya sukari kwa ajili ya watu wachache wanaocheza na sheria mfu za manunuzi ili watuumize,badfkn zake.
Headlessss, shwainnnnn.
 
Luhaga Mpina ametemwa na maccm yenzake ndo maana anaruka ruka mbona kipindi cha magufuli hatukuona akionyesha movement yoyote.. Mi sasa hv sitaki kujua chochote na fight na maisha yangu ila mtu asiingie anga zangu.
na hiki ulichokisema hapa baadhi ya watanzania tunaki'overlook aidha kwa makusudi au bahati mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…