GSM kaweka ngapi pale Utopolo na je Yanga inajiendesha kwa faidaUnajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Pesa za GSM mnapata kwa sababu ya ule mwiko pale nyuma si ndio.Sisi ni timu ya wananchi hatutaki na hatuitaji pesa za bure bure..
#daimaMbeleMwikoNyuma.
Utopolo isitoshe tu vile Luc alivyowambia ni uneducated/ pia mnatakiwa kupimwa akili.Sisi ni timu ya wananchi hatutaki na hatuitaji pesa za bure bure..
#daimaMbeleMwikoNyuma.
Unajua jezi zinaingiza shingpUnajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Jaribu kufuatilia reports ya kimahesabu ya hivi karibu, kwa taarifa yako simba haijawahi kupata hasara.Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bilion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
Unajua lakini kwamba MO anaweka karibibia Bilion 4 kwa msimu. Mbaka Sasa Simba Kama Klabu Haina mapato yoyote yanayo weza kuingiza bi
lion 2 kwa msimu. MO anatoa fedha mfukoni mwake kwa maana iyo Simba inaendeshwa kwa Hasara. Je! MO atavumilia kwa muda gani kupata Hasara ni Jambo la muda tu.
HahahaPesa za GSM mnapata kwa sababu ya ule mwiko pale nyuma si ndio.