Mpira ni uwekezaji na sio propaganda, Yanga endeleeni kuwaziba midomo wanafiki, mnawajibu kwa vitendo hongereni!

Mpira ni uwekezaji na sio propaganda, Yanga endeleeni kuwaziba midomo wanafiki, mnawajibu kwa vitendo hongereni!

Walianza na propaganda za Yanga kushiriki kombe la looser (shirikisho), wakatoka hapo yanga ikagonga mpaka fainali uku timu zikichapwa ipasavyo wakasema wamekutana na timu dhaifu, lakini wale wale waliwai kucheza ilo ilo kombe la looser wakaishia kuchoma uwanja wa watu na kutupwa nje ya michuano wakaishia robo fainali!

Wakatoka hapo wakaamia klabu bingwa wakabwata Tena oooh yanga atoboi kwenye hii ligi ya wanaume uku akuna kina malumo Wala Rivers united, Aya wamepangiwa magiant wawili waarabu wagumu mabingwa wa Misri, mabingwa wa Algeria, na mabingwa wa Ghana, katika kundi ilo katoboa, katoa SARE mbili, kashinda 2, na kafungwa 1 mpaka Sasa kafuzu robo fainali akiwa na mechi moja mkononi!
Kafuzu kwa mpira mkubwa na WA kitabuni na sio wa kubahatisha na kushikilia roho, kaubonda mwingi sana!
Sasa siwezi Kuona ajabu wakitinga nusu fainali ya klabu bingwa na kuandika historia ya kipekee kwakuwa uwezo wanao, Nia wanayo na kikosi Bora wanacho Cha kufanya hivyo na sio unga unga mwana Kama wazee wa propaganda!

Watu walikuwa wanajiandaa na mechi ya Belouzdad wengine walikuwa wamebaki kujadili bleach za wakina pacome, wakasahau walikuwa na mechi kule Ivory coast!

Ubora wa kikosi cha yanga utaendelea KUWAZIBA MIDOMO wengi awaendi kwa kubahatisha Bali kwa mipango mathubuti ya usajili Bora na uongozi imara!

Kongole sana Eng.Hersi, kongole kamati tendaji, kongole mashabiki na wanachama wa yanga kwa kuwa na mshikamano ulioleta matunda na Sasa ni "OPERATION NUSU FAINALI INAWEZEKANA"
Wakati wa usajili, Simba wako busy kununua mabasi na kupandisha mabegi milimani, mechi zikianza, marefa ndio wanabebeshwa jukumu la kuibeba Simba.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Wakati anamfunga aly ahly kipindi Cha korona lock down ikiwa imetawala Kila sehemu ndio unatuletea hapa, Kama una timu kweli ongoza kundi Sasa hivi tuone, umewekwa kundi dhaifu na bado unasuasua unatoa droo ata na jwaneng[emoji848][emoji848][emoji848]
Nyinyi dar es Salam young African mlikuwa wapi ilikuwa ndio nafasi yenu kuwa mabingwa wa Caf champions league au mlizuia kushiriki kweli ukiwa yanga akili zinahama.
 
Wakati anamfunga aly ahly kipindi Cha korona lock down ikiwa imetawala Kila sehemu ndio unatuletea hapa, Kama una timu kweli ongoza kundi Sasa hivi tuone, umewekwa kundi dhaifu na bado unasuasua unatoa droo ata na jwaneng[emoji848][emoji848][emoji848]
Wapo kundi dhaifu sana imagine timu ina points 4 bado inauwezo wa kufuzu wakati kundi letu CRB imepata points 8 imeshindwa kutoboa
 
Walianza na propaganda za Yanga kushiriki kombe la looser (shirikisho), wakatoka hapo yanga ikagonga mpaka fainali uku timu zikichapwa ipasavyo wakasema wamekutana na timu dhaifu, lakini wale wale waliwai kucheza ilo ilo kombe la looser wakaishia kuchoma uwanja wa watu na kutupwa nje ya michuano wakaishia robo fainali!

Wakatoka hapo wakaamia klabu bingwa wakabwata Tena oooh yanga atoboi kwenye hii ligi ya wanaume uku akuna kina malumo Wala Rivers united, Aya wamepangiwa magiant wawili waarabu wagumu mabingwa wa Misri, mabingwa wa Algeria, na mabingwa wa Ghana, katika kundi ilo katoboa, katoa SARE mbili, kashinda 2, na kafungwa 1 mpaka Sasa kafuzu robo fainali akiwa na mechi moja mkononi!
Kafuzu kwa mpira mkubwa na WA kitabuni na sio wa kubahatisha na kushikilia roho, kaubonda mwingi sana!
Sasa siwezi Kuona ajabu wakitinga nusu fainali ya klabu bingwa na kuandika historia ya kipekee kwakuwa uwezo wanao, Nia wanayo na kikosi Bora wanacho Cha kufanya hivyo na sio unga unga mwana Kama wazee wa propaganda!

Watu walikuwa wanajiandaa na mechi ya Belouzdad wengine walikuwa wamebaki kujadili bleach za wakina pacome, wakasahau walikuwa na mechi kule Ivory coast!

Ubora wa kikosi cha yanga utaendelea KUWAZIBA MIDOMO wengi awaendi kwa kubahatisha Bali kwa mipango mathubuti ya usajili Bora na uongozi imara!

Kongole sana Eng.Hersi, kongole kamati tendaji, kongole mashabiki na wanachama wa yanga kwa kuwa na mshikamano ulioleta matunda na Sasa ni "OPERATION NUSU FAINALI INAWEZEKANA"
Kolo msije kuchafua uzi hapa😎
 
Usisahau yanga hatuna malalamiko mechi za ligi tunazicheza hakuna kusogeza mechi mbele kwa kisingizio cha caf.

Imagine yanga jumatano tumetoka kucheza mechi ya ligi kuu ya Tanzania.

Same week tumecheza mechi mbili kubwa kwa gap la siku tatu tu
Yanga hakuna kuweka mpira kwapaka
 
Mtoto mdogo akijua kusoma na kuandika ni shida ndani ya Nyumba, ataandika ukutani, madirisha, kwenye Magodoro mpaka kwenye mito.
Simba imefikia robo fainali mara nne hakuna kiongozi kuzimia uwanjani Wala kuandika mabango barabarani au kufanya sherehe ya kunywa Supu ya vibudu.
Kuna msemo wa kiswahili usemao "Maskini alipata matako Julia mbwata" Hao Ndio Yanga sasa!
 
Back
Top Bottom