THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,462
- 7,157
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akirusha hilo kombora hata humu JF kutakuwa ni vilio vitupu maana jana kapewa kila aina ya tusi. Yanga itashuka hadi ligi daraja la 3, ikacheze na Bom Bom FC.
Tena na eskoti ya polisi kila aendako!Magoma apewe ushirikiano...
Kwenye mkutano mkuu kila kitu kilikua wazi, vipi yale maandano ya kumng'oa Mangungu yaneishia wapi?Watakwambia wao Wana jali matokeo tu.
Kuna mwanachama yeyote anayejua club ya yanga Ina kiasi Gani bank?
Uwazi Gani zaidi ya kusema kapata hasara billion 1?Kwenye mkutano mkuu kila kitu kilikua wazi, vipi yale maandano ya kumng'oa Mangungu yaneishia wapi?
Ungekua na akili ningekuelewasha ila hio ID yako naweza poteza muda wangu bure ila kifupi muulize Mo kwanini anapata hasara 5imba na haiachiiUwazi Gani zaidi ya kusema kapata hasara billion 1?
Ila bado ana sajili na mishahara analipa.ila anakwambia amepata hasara.ana moyo wa kipekee sana gsm
Mimi sijakuja kulinda dunia😂aliyepanga, aliyehusika, aliyehudumu na aliyekuwa na mawazo wote safari by mzee magoma.
cc: aione mzee mpili (mzee wa kifungio kama peremende) kwenye jalada
Anza na GSM kwanza ambaye ndo malaika wako kwanini anapata hasara na bado king'ang'aniziUngekua na akili ningekuelewasha ila hio ID yako naweza poteza muda wangu bure ila kifupi muulize Mo kwanini anapata hasara 5imba na haiachii