Mpira wa Tanzania unaharibiwa na vilabu viwili -- Simba na Yanga

Mpira wa Tanzania unaharibiwa na vilabu viwili -- Simba na Yanga

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Tusipo tengeneza mpira mzuri hapa tanzania basi hakuta kuwa na utofauti ya kuwapa kipaumbele kama wasanii wawili wanao shindanishwa kwa maslahi binafsi.

Mpira wetu wa hapa bongo kwenye vilabu umewekezwa sana kwenye simba na yanga na si vingine.

Na kila mchezaji yoyote utaka kuingia kwenye hivo vilabu viwili.

Kama mpira wa Europe na wingereza ungekuwa kwa mtindo huu sijui hata ile timu aliyochezea samata tungeijua.

Ukiangalia Tanzania zima mashibiki ni simba na yanga na inakera sana.

Wawekezaji wanazing'ang'ania hizi timu hata siku zikikutana au kucheza mapato na promo nyingi.

Ndio maana mchezaji akitoka simba au yanga kwisha habari yake kwenye vilabu vingine.

Kwanini tusijikite kuvipigania vilabu vyote ili kesho ukisikia simba au yanga wanakutana ni jambo la kawaida kama zikikutana vilabu vingine.

Haya yanasababishwa na nini?

Wadau wa michezo
 
Umesema ukiangalia Tanzania nzima mashabiki wa mpira wa miguu ni Simba vs Yanga !

Kwani ww ni mshabiki wa team gani?
 
Tusipo tengeneza mpira mzuri hapa tanzania basi hakuta kuwa na utofauti ya kuwapa kipaumbele kama wasanii wawili wanao shindanishwa kwa maslahi binafsi.

mpira wetu wa hapa bongo kwenye vilabu umewekezwa sana kwenye simba na yanga na si vingine...

Umewaza mbali sana. Usimba na uyanga unadumaza soka la Tanzania. Wawekezaji wamejikita kwenye timu mbili ambazo ni yanga na simba, hapa tusitegemee ushindani.

Kwa upande wa Azam na hela zao lakini hawafanyi vizuri, tatizo nini?
 
Tusipo tengeneza mpira mzuri hapa tanzania basi hakuta kuwa na utofauti ya kuwapa kipaumbele kama wasanii wawili wanao shindanishwa kwa maslahi binafsi.

mpira wetu wa hapa bongo kwenye vilabu umewekezwa sana kwenye simba na yanga na si vingine.

na kila mchezaji yoyote utaka kuingia kwenye hivo vilabu viwili.

Kama mpira wa Europe na wingereza ungekuwa kwa mtindo huu sijui hata ile timu aliyochezea samata tungeijua.

Ukiangalia Tanzania zima mashibiki ni simba na yanga na inakera sana.

wawekezaji wanazing'ang'ania hizi timu hata siku zikikutana au kucheza mapato na promo nyingi.

Ndio maana mchezaji akitoka simba au yanga kwisha habari yake kwenye vilabu vingine.

kwa nini tusijikite kuvipigania vilabu vyote ili kesho ukisikia simba au yanga wanakutana ni jambo la kawaida kama zikikutana vilabu vingine.

haya yana sababishwa na nini !

wadau wa michezo
Kwani Tz kama nchi tumefanikisha nini zaidi ya mdomo na ushabiki wa kipumbavu kutokana na elimu duni yetu.
 
Tusipo tengeneza mpira mzuri hapa tanzania basi hakuta kuwa na utofauti ya kuwapa kipaumbele kama wasanii wawili wanao shindanishwa kwa maslahi binafsi.

mpira wetu wa hapa bongo kwenye vilabu umewekezwa sana kwenye simba na yanga na si vingine.

na kila mchezaji yoyote utaka kuingia kwenye hivo vilabu viwili.

Kama mpira wa Europe na wingereza ungekuwa kwa mtindo huu sijui hata ile timu aliyochezea samata tungeijua.

Ukiangalia Tanzania zima mashibiki ni simba na yanga na inakera sana.

wawekezaji wanazing'ang'ania hizi timu hata siku zikikutana au kucheza mapato na promo nyingi.

Ndio maana mchezaji akitoka simba au yanga kwisha habari yake kwenye vilabu vingine.

kwa nini tusijikite kuvipigania vilabu vyote ili kesho ukisikia simba au yanga wanakutana ni jambo la kawaida kama zikikutana vilabu vingine.

haya yana sababishwa na nini !

wadau wa michezo
umeeleza jambo moja la maana saana.

kwangu mimi nikiangalia naona tatizo linaanzia kwa vyombo vya habari, ikiwemo redio na magazeti maana hivi ndio vyombo pendwa sana kwa walio wengi hapa bongo, japo na mitandao ya kijamii kidogo... yan unaweza kukuta mtu wa Mbeya kwanza huko kapiga goli mbili kwenye mechi labda vs geita gold, afu na Kagere au ntibazokiza akapiga goli moja tena la penati ,. ila utashangaa kesho yake redio zoote na hata magazeti vichwa vya habari ni hizo za simba na yanga. ko unakuta matukio yanayotokea kwenye timu ndogo yanapewa nafasi finyu saana.

Mfano mzuri , hivi yule Lusajo wa Namungo angekuwa Simba au Yanga unadhani angeimbwa namna gani? .

unaweza kukuta leo kuna mechi ya timu hizi tunazoziita za kawaida, halafu kesho mechi ya Yanga au simba . ila utakuta wachambuzi badala kuchambua au kupromote mechi ya leo utakuta wanaanza kuchambua mechi ya kesho ya hivi vilabu pendwa masikioni. . ko wanapandikiza saana Usimba na Uyanga nchini.
 
Naona watu ambao hata hampendi mpira mnashauriana......
Kwani Spain pako Vipi?
Ujerumani pako vipi?
Argentina pako vipi?
Scotland pako vipi?
Mtuachie Team zetu aseee, kutwa kuzisimanga Zinadumaza, asa mtu unawaza hadi unacheka mwenyewe.
Nyie mzipende team zenu hizo zingine inatosha, msitufuatilie na mtindo wetu wa Maisha tuliouchagua ni huu.
 
umeeleza jambo moja la maana saana.

kwangu mimi nikiangalia naona tatizo linaanzia kwa vyombo vya habari, ikiwemo redio na magazeti maana hivi ndio vyombo pendwa sana kwa walio wengi hapa bongo, japo na mitandao ya kijamii kidogo... yan unaweza kukuta mtu wa Mbeya kwanza huko kapiga goli mbili kwenye mechi labda vs geita gold, afu na Kagere au ntibazokiza akapiga goli moja tena la penati ,. ila utashangaa kesho yake redio zoote na hata magazeti vichwa vya habari ni hizo za simba na yanga. ko unakuta matukio yanayotokea kwenye timu ndogo yanapewa nafasi finyu saana.

Mfano mzuri , hivi yule Lusajo wa Namungo angekuwa Simba au Yanga unadhani angeimbwa namna gani? .

unaweza kukuta leo kuna mechi ya timu hizi tunazoziita za kawaida, halafu kesho mechi ya Yanga au simba . ila utakuta wachambuzi badala kuchambua au kupromote mechi ya leo utakuta wanaanza kuchambua mechi ya kesho ya hivi vilabu pendwa masikioni. . ko wanapandikiza saana Usimba na Uyanga nchini.
El classico inachambuliwa siku Ngapi kabla?
Mnachoshindwa kujua ni hivi, pengine zisingekuwepo simba na Yanga, mpira Ungekuwa kama ngumi au riadha tu.....
 
Simba na yanga azina shida wenye shida watangazaji na wachambizi
 
umeeleza jambo moja la maana saana.

kwangu mimi nikiangalia naona tatizo linaanzia kwa vyombo vya habari, ikiwemo redio na magazeti maana hivi ndio vyombo pendwa sana kwa walio wengi hapa bongo, japo na mitandao ya kijamii kidogo... yan unaweza kukuta mtu wa Mbeya kwanza huko kapiga goli mbili kwenye mechi labda vs geita gold, afu na Kagere au ntibazokiza akapiga goli moja tena la penati ,. ila utashangaa kesho yake redio zoote na hata magazeti vichwa vya habari ni hizo za simba na yanga. ko unakuta matukio yanayotokea kwenye timu ndogo yanapewa nafasi finyu saana.

Mfano mzuri , hivi yule Lusajo wa Namungo angekuwa Simba au Yanga unadhani angeimbwa namna gani? .

unaweza kukuta leo kuna mechi ya timu hizi tunazoziita za kawaida, halafu kesho mechi ya Yanga au simba . ila utakuta wachambuzi badala kuchambua au kupromote mechi ya leo utakuta wanaanza kuchambua mechi ya kesho ya hivi vilabu pendwa masikioni. . ko wanapandikiza saana Usimba na Uyanga nchini.
Upo sahihi100%
 
Simba na Yanga hazina shida.
Mfano mzuri angalia Azam FC kila kitu wanacho lakini hakuna changamoto wanayoitoa kwa hizi club mbili.
Nafikiri kwa mtazamo wangu tatizo lipo hapo TFF.
 
Local support itasaidia na sio ushabiki wa Glory Hunters
 
"Utani wa Jadi" hii ndiyo dhana nzima ya mustakhabali wa mpira wetu. Ni kitu cha kujivunia lakini kimetufikisha wapi ?? Mahaba, mapenzi na mihemko yameshika hatamu kwenye taswira ya mpira wa nyumbani.
 
Fanya tafiti ya nchi nyingine ndio ufikie conclusion.
 
Fanya tafiti ya nchi nyingine ndio ufikie conclusion.

kama ni mpezi wa timu za ulaya na wingereza !.kuna mfano unaweza nipa zipo timu mbili tu ndo zinaendesha ligi mfano kama kwetu
 
Yaani unilazimishe nishabikie Kitayose kwa lazima wakati mapenzi yangu yako Simba/Yanga?

Kwani Spain timu zinawika na zenye mashakibi wengi ni zipi kama sio Barca na Real Madrid pekee?
Vipi kuhusu Ujerumani, Scotland, Portugal, Congo?

Hiyo ni mifano michache tu.

Inshort Umepuyanga.
 
Simba na Yanga hazihusiki kuua mpira,vilabu vingine viwekeze tu kwenye timu,mishahara mizuri,scouting ya wachezaji iwe nzuri,academy ya kuibua na kulea vipaji iwe nzuri,mfano mtibwa sugar inajitahid kwenye hili. Lazima wababe wa ligi wawepo,hii sio tu kwa Tanzania,ligi zote duniani ziko hvyo.
England,Spain,German,Italy,Misri,Algeria,S.Africa,Morocco n.k
Timu zngne zikiwekeza,wababe wataongezeka,ligi itazid kuwa na ushindani.
 
Back
Top Bottom