Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Wewe unasumbuliwa na ugumu wa maisha
Nadhani hapa tumeshajua una matatizo makubwa sana either kiuchumi au kiakili

Jikite kwenye mada kama wenzio kijana naona umemuweka Darwin Nunez hapo bila shaka umeanza kuifatilia Liverpool juzi juzi .

Je wakongwe kama Asprin , Chaliifrancisco , na sisi malegend tusemeje? Uliza kwanza tulioshuhudia Liverpool ya ukweli kabisa.
 
Kwahiyo halaand Hana kipaji aisee mzee embu jaribu kumuona daktari unatatizo la afya ya akili na ugumu wa maisha
 
Nadhani hapa tumeshajua una matatizo makubwa sana either kiuchumi au kiakili

Jikite kwenye mada kama wenzio kijana
Wewe ndio unatatizo la ugumu wa maisha ndio maana unaona mpira hauchezwi na hiyo hutokea watu kama nyie ambao mfukoni hamna kitu lazima uone mpira takataka
 
Mimi binafsi mechi za Africa hapana ni ubabaishaji tu. Hata ligi ya Tanzania sipotezi muda wangu.
 
Haaland yupi huyo ni takataka? Huyu anayeongoza kwa magoli au?
Mkuu
Ujue sasa hivi soka mmeliharibu

Leo hii mtu ukimwambia Xavi ni bora kuliko Rodri utakimbilia takwimu okay.

Wakati macho ya wazi kabisa Xavi alikuwa bora mara 200 ya Huyu Rodri

Pep mwenyewe alisema "sometimes football is beyond the number" yaani yeye anaamini mpira sio takwimu tu .

Sasa wewe unambishia kocha wa huyo Halaand?
 
Kazi ya halaand ni Nini ujue ukute hata kazi yake uwanjani huijui🤣🤣🤣🤣
 
Mpira uliowaruhusu watu kujieleza Wana Nini miguuni haupo Tena
Mbeki hawataki kukaba
...Ngoma Sasa ni too formulated plus mi grid system kama mbuzi kupangiwa na kamba aende wapi aishie wapi.

Wachezaji kurundikiwa maelezo mengi na kudaiwa Kuwa vigezo vingi hata kwenye namba zisizotaka Mambo mengi.
 
Kwahiyo halaand Hana kipaji aisee mzee embu jaribu kumuona daktari unatatizo la afya ya akili na ugumu wa maisha
Dogo mbona unajifanya unanijua jua sana? Mama yako ndio huwaga ananilea? Kwamba kazi yangu kumkaza tu then ananilisha?

Hebu acha ujinga kujifanya unajua jua watu hakuna aliyekuita hapa kama huwezi kujadili acha .

Mbona wenzio wamepinga na kukubali kistaarabu?

Utoto shida sana
 
We ni chizi lazima tukudharau hatuwezi kusikiliza ushuzi wako nenda Kwa daktari unaandika Mavi matupu hapa Bora Mimi mtoto ila wewe ni kubwa jinga unaesema CAF inaizidi UEFA Kila mtu anakushangaa huo mpira wa CAF ni huu huu wakina simba na yanga dhidi ya Al ahly waarabu wa Africa uchwara🤣🤣🤣🤣
 
tunaangalia mikeka imetiki live score tu huo muda wa kukaa uangalie mpira unautoa wp? mpira ulikuwa 2012 kurudi nyuma enz izo drogba, lampad, terry dah! sahv chama langu the blues mpaka jezi hazieleweki na hazivaliki
 
Mkuu, na wewe unaamini Halaand sio bora ni takataka kulinganisha na kina Nunez?
 
Niliwahi kuuliza kuwa, hivi kuna Striker wa sasahivi angeweza kabwa na hawa mabeki na kupita? Angalia tu aina ya mabeki...akina Paolo Maldini au Genaro Gatuso halafu eti Striker ni Ganacho au Gabriel Jesus

let us be serious Wakuu
 

Attachments

  • images (81).jpeg
    50.8 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…