Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Mpira ume badilika una kasi watu wanataka matokeo masuala ya kupiga kanzu matobo bila uelekeo watu wamehama uko
Hayo umesema wewe .

Je zamani watu walikuwa hawafungi?

Kwanza match za sasa zina magoli machache sana

Mara moja moja sana unakuta goli zaidi ya 5 .

Hakuna mpira hapo
 
Kwahiyo watu wote hao wanaokwambia hawajui wewe mtoto wa "afu mbili" ndiyo unajua?

Maajabu hatautaki OK?
Hamna kitu wewe hujui mpira ndio maana unawaona hao jamaa uliotajiwa ni hatari ila Kwa sisi tunajua mpira hapo hamna kitu ni WA kawaida sana nilipokuona kituko kusema ngumi mkononi mzee ngumi za nini uwanjani hapo sio ulingoni utalambwa nyekundu uigharimu timu marefa wa Sasa hivi hawataki vituko Kuna v.a.r🤣🤣🤣🤣
 
Kwanza mashuti tu ,aisee kuna majitu yalikuwa yanapiga mashuti , yule Roberto Carlos , Gerald nk
Yaani yale mashuti hivi vitoto vya sasa hivi vinaweza tapika nyongo uwanjani
 
Hakika watu kama wewe mpo wachache sana na ndiyo mnaojua mpira halisi uliokuwepo ulaya na sasa hivi total different kabisa.

Lakini walioanza kuangalia majuzi wanaona kwamba ni soka Zuri kumbe ushubwada mtupu

Kwa sasa hakuna vipaji eti Halaand ni kipaji wajameni hata kwa Samuel Etoo alipokuwa prime huyo hafiki
Legends wengi wanasema mpira uliishia 2010... Baada ya hapo massive transformation ikavamia mpira kupindukia kuanzia technology even tactics + Techniques kuhusu mpira kwa ujumla.
Mara nyingi huwa napenda kutizama Copa America na ligi za huko kwa wahuni ndio huwa naona kile kimepotea ulaya.
 
Hayo umesema wewe .

Je zamani watu walikuwa hawafungi?

Kwanza match za sasa zina magoli machache sana

Mara moja moja sana unakuta goli zaidi ya 5 .

Hakuna mpira hapo
Watu wanakaba sahv
Mtu kuruka viunzi tokea katikati hadi golini kufunga hamna tena wachezaji wa zamani wenyewe wamesha liongelea hili
 
Watu wanakaba sahv
Mtu kuruka viunzi tokea katikati hadi golini kufunga hamna tena wachezaji wa zamani wenyewe wamesha liongelea hili
Mmhhh mkuu

Zamani watu walikuwa wanakaba aloo khee

Unamuona baba ake na dogo Halaand? Alitaka kumpita Roy Keane matokeo yake alistaafu kwa lazima kwa kuvunjwa mguu pale pale yaani ukabaji wa hatari sana.

Saivi kwanza huwa wanakaba box to box sio man to man
 
Jude Bellingham unaweza kumfananisha na Makelele au Zidane? Ni beki yupi unaweza mfananisha na Hiero ukimwacha Carvajal at least
Unapoteza muda wako bure huyu dogo hajui kitu kabisa inaonekana bado mwanafunzi hajaona mpaka aende YouTube
 
Mmhhh mkuu

Zamani watu walikuwa wanakaba aloo khee

Unamuona baba ake na dogo Halaand? Alitaka kumpita Roy Keane matokeo yake alistaafu kwa lazima kwa kuvunjwa mguu pale pale yaani ukabaji wa hatari sana.

Saivi kwanza huwa wanakaba box to box sio man to man
Huko sio kukaba Sasa ni kucheza rafu kunakopelekea kulambwa nyekundu kumbe wewe hauongelei mpira unaongelea rafu dah kweli kunavutuko🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mimi binafsi mechi za Africa hapana ni ubabaishaji tu. Hata ligi ya Tanzania sipotezi muda wangu.
Sema kwa Afrika bado sana ,mimi huwa hata siangalii huu utumbo wa huku mfano Simba na Yanga ,labda Derby za South Afrika kama Kaizer chiefs vs Mamelodi Sundowns ndio huwa naangalia ,napo ni mara chache chache , takataka kabisa .
 
Unapoteza muda wako bure huyu dogo hajui kitu kabisa inaonekana bado mwanafunzi hajaona mpaka aende YouTube
Huna fact wewe ni unaongea pumba yaani watu wakicheza rafu za kuvunja wenzao miguu wewe ndio unasema mpira mzee kweli wewe ni kubwa jinga huo sio mpira hizo ni rafu miaka hii ya V.A.R unakosti timu unalambwa nyekundu halafu unapotezea timu pointi
 
Zidane UEFA ya kwanza alichukua akiwa na umri Gani tuanzie hapa kwanza
Hatuzungumzii Umri wala Mafanikio ya Timu....acha Ujuaji, mimi nimestick kwenye aina ya Wachezaji wa sasa na kizazi kilichopita na ndio maana ukatoa mifano ya Wachezaji

Suala la Timu kuchukua kombe ni suala la Timu nzima sio Mchezaji mmoja mmoja
 
Mmhhh mkuu

Zamani watu walikuwa wanakaba aloo khee

Unamuona baba ake na dogo Halaand? Alitaka kumpita Roy Keane matokeo yake alistaafu kwa lazima kwa kuvunjwa mguu pale pale yaani ukabaji wa hatari sana.

Saivi kwanza huwa wanakaba box to box sio man to man
Hizo sasa ni rafu
Michezo ya kishamba hiyo wachezaji sahv wanalipwa pesa ndefu ukiendekeza nyekundu na maugomvi uwanjan kibarua kinaota nyasi
 
Hatuzungumzii Umri wala Mafanikio ya Timu....acha Ujuaji, mimi nimestick kwenye aina ya Wachezaji wa sasa na kizazi kilichopita na ndio maana ukatoa mifano ya Wachezaji

Suala la Timu kuchukua kombe ni suala la Timu nzima sio Mchezaji mmoja mmoja
Jibu swali zidane alichukua UEFA ya kwanza akiwa na miaka mingapi utaongeaje MAFANIKIO wakati mtu mmoja kashammaliza career mwingine ndio kwanza anaanza anamiaka 22 kwahiyo UEFA ya 2022 vincus junior unaweza kusema Hana mchango sio
 
Unapoteza muda wako bure huyu dogo hajui kitu kabisa inaonekana bado mwanafunzi hajaona mpaka aende YouTube
Mshamba mshamba halafu dizaini mjuaji

Mada inajadili nature ya Wachezaji wa zamani na wa hivi sasa yeye ananiletea habari ya Timu kuchukua Kombe ilihali hata kombe la kuku mtaani huku kigurunyembe wanatoa Makombe
 
Mshamba mshamba halafu dizaini mjuaji

Mada inajadili nature ya Wachezaji wa zamani na wa hivi sasa yeye ananiletea habari ya Timu kuchukua Kombe ilihali hata kombe la kuku mtaani huku kigurunyembe wanatoa Makombe
Ukiona mtu anaandika Kwa jazba ujue Hana point kama wewe nimeshakushika huna pointi umebaki kuandika kashfa kiufupi hujui mpira fuatilia simba na yanga
 
Back
Top Bottom