Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Siku hizi wachezaji wanafuata mfumo wa kocha,akionyesha uwezo binafsi ni kama anaharibu, kumbeka enzi za Drogba akiwa Chelsea cross ikipigwa haipoi anaiunganisha, Zidane ana dribble na kupiga mashuti,Rooney wa Man U kipa asogee tu mbele anaunga tu ,tunakoelekea mpira utabadilika sana zaidi hata ya sasa tulipo.
 
Nilikuwa siambiwi kitu Kwa Man U
Man U ikifungwa Hata chakula Kilikuwa Hakiliki
Kwasasa Sijui hata Imecheza Lini
Sijui ina points ngap
Nikiambiwa Imefungwa Kama Vile nimeambiwa Kuna Mbuzi kapotea huko Malawi!!
Yaani hata Roho Kustuka hakuna!
Nimebakia na Simba hii ndio Inayo nitesa sana japo Simuda nayo ...
Mimi chelsea!! Ila siku hizi hata sina hamu ya kufuatilia! Sijui hata ratiba ya michezo yao!
 
Kwanza mashuti tu ,aisee kuna majitu yalikuwa yanapiga mashuti , yule Roberto Carlos , Gerald nk
Yaani yale mashuti hivi vitoto vya sasa hivi vinaweza tapika nyongo uwanjani
KDB hapigi? Valverde Ton kroos?
 
Wenzetu kwa sasa hakuna team pia mkuu amini

Umeona Euro ya juzi kati? Kuna mpira gani mule yaani hovyo sana

Angalau walioangalia copa america ndiyo waliienjoy

Unazidi kuona kwamba team zao pia ubroa unashuka taratibu sababu ya makocha kutaka kuwafanya wachezaji wasio na vipaji nao wacheze mpira kisa tu wanafuata mfumo basi

Halaand na kipaji gani yule.mpaka aimbwe hivi?

No wonder lukaku bado ni lulu sababu hakuna pure striker nowdays
Mpira wa Sasa watu wanataka matokeo sio vyenga,Mimi Halaand simuelewi hata kidogo ila tukubali anafunga kumzidi De Lima ,amefundishwa kufunga tu..
 
Siku hizi wachezaji wanafuata mfumo wa kocha,akionyesha uwezo binafsi ni kama anaharibu, kumbeka enzi za Drogba akiwa Chelsea cross ikipigwa haipoi anaiunganisha, Zidane ana dribble na kupiga mashuti,Rooney wa Man U kipa asogee tu mbele anaunga tu ,tunakoelekea mpira utabadilika sana zaidi hata ya sasa tulipo.
Wewe umeongea pointi Moja kubwa sana siku hizi watu ni mfumo hawakimbiikimbii ukifuata uwezo wako lazima uharibu mipango ya kocha
 
Hatuzungumzii Umri wala Mafanikio ya Timu....acha Ujuaji, mimi nimestick kwenye aina ya Wachezaji wa sasa na kizazi kilichopita na ndio maana ukatoa mifano ya Wachezaji

Suala la Timu kuchukua kombe ni suala la Timu nzima sio Mchezaji mmoja mmoja
Wachezaji wa sasa wako vizuri mno team mzima sio kama zamani wanakuwa best wa 5 kwenye team
 
Ukiona mtu anaandika Kwa jazba ujue Hana point kama wewe nimeshakushika huna pointi umebaki kuandika kashfa kiufupi hujui mpira fuatilia simba na yanga
Mimi.sio kuujua tu Mpira, na kucheza nacheza sana tena kwenye Daraja ambalo hujawahi fika...nakufundisha Mpira

Nature of Players na Spirit ya game imebadilika kwa mpira wa miaka 10 na zaidi nyuma na wa sasa

Clarence Seedorf, Paul Scholes au Andrea Pirlor sikuhizi, vipaji vinaondoka na Messi...na Bellingham bado kucomment tofauti na zamani

Ila kwakuwa wewe ni Mjuaji usiyejua Mpira nakuacha
 
Mimi.sio kuujua tu Mpira, na kucheza nacheza sana tena kwenye Daraja ambalo hujawahi fika...nakufundisha Mpira

Nature of Players na Spirit ya game imebadilika kwa mpira wa miaka 10 na zaidi nyuma na wa sasa

Clarence Seedorf, Paul Scholes au Andrea Pirlor sikuhizi, vipaji vinaondoka na Messi...na Bellingham bado kucomment tofauti na zamani

Ila kwakuwa wewe ni Mjuaji usiyejua Mpira nakuacha
We mpira hujui na hujawahi kuicheza acha uongo wako hapa mijitu ya jamii forum inakuaga miongo miongo sana Sasa kama wewe umecheaa mpira daraja Gani aisee kweli Kuna vituko
 
Si ndio maana namshangaa huyu jamaa , kama haamini akaangalie ile man to man marking ya Pepe Vs Messi
Mmhhh mkuu

Zamani watu walikuwa wanakaba aloo khee

Unamuona baba ake na dogo Halaand? Alitaka kumpita Roy Keane matokeo yake alistaafu kwa lazima kwa kuvunjwa mguu pale pale yaani ukabaji wa hatari sana.

Saivi kwanza huwa wanakaba box to box sio man to man
 
Si ndio maana namshangaa huyu jamaa , kama haamini akaangalie ile man to man marking ya Pepe Vs Messi
Kaangalie pia Messi vs van dijk anfield 2019 UEFA champions league halafu mbona unataja wachezaji wa career hii hii kama huyo pepe si bado anacheza europe
 
I salute you kinsmen.
Binafsi nimeanza kufuatilia soka la ulaya muda kidogo Liverpool die hard fans.

Lakini tuseme ukweli ligi za ulaya kwa sasa uwezo wa wachezaji umekuwa mdogo sana na hakuna vipaji kabisa asilia yaani ile pure talent hakuna kabisa.

Hasa hasa EPL nowdays huwa nafuatilia game za Liverpool basi tu sababu ya kuipenda team ila kwa sasa sioni zile pure talent kama zama zile ..

Tulikuwaga na Xabi alonso anazima pale na mascherano kati halafu Steven Gerald. Lakini leo tuna wataru Hendo,

Tukikuwaga na watu wa kazi Denis Bergkamp pale arsenal lakini leo tuna Gabriel jesus, na taka taka zingine kama Halaand pale Man City.

Hebu fikiria watu kazi kama Vidic,Rio ferdinand, Ashley Cole, patrice Evra,dirk kuyt, hawapo tena,

hebu wazia pale Qpl ya moto enzi zile yaani full kuenjoy.

Binafsi ukiniuliza nitakwambia kwa sasa CAF champions league ni bora kuliko Uefa ya sasa hivi . UEFA ya mwisho kuwa nzuri zaidi ni ile 2015/2016! Baada ya hapo ni maigizo matupu na ujinga ujinga.

Wachezaji nowdays wamekariri mifumo kutoka kwa makocha kama maroboti yaani hatuoni zile extra talent kutoka kwao .

Sikuhizi mchezaji kufunga goli la uwezo binafsi ni ngumu sana sana zaidi ya kufuata mfumo kama robot..

Naamini Neymar ndiyo talent ya mwisho ambayo ilibaki na ilitegemewa kufanya makubwa lakini ndio vile mnamuona tena mwenyewe kijana umri umesogea..

Nadhani ligi ya EPL ndiyo imeshakuwa ya kidwanzi sana kufuatilia hakuna tena soka la burudani kama zamani zaidi mifumo mipya ya hovyo wachezaji waifuate kama robot.

No wonder wachezaji kama Halaand wanacheza na wanaonekana bora sana, na wanafikia mpka kugombania tuzo kubwa kubwa ni ujinga.

Marefa wa epl ndio kituko kabisa hawana tofauti na huku Bongo wana VAR lakini bado maamuzi ni kichekesho.

Angalau Spain bado wana mpira wao asili kidogo unafurahia kuenjoy.

Afadhali hata ligi ya Tanzania kuna magoli yanafungwa unaona kabisa huu ni uwezo binafsi kabisa kuliko EPL ya sasa aseeh
Eti taka taka zingine aisee wanadamu tumefikia huku kuitana taka taka?
 
Hatuzungumzii Umri wala Mafanikio ya Timu....acha Ujuaji, mimi nimestick kwenye aina ya Wachezaji wa sasa na kizazi kilichopita na ndio maana ukatoa mifano ya Wachezaji

Suala la Timu kuchukua kombe ni suala la Timu nzima sio Mchezaji mmoja mmoj
 
Haya Mjuaji, unatuwekea picha ya Mchezaji hapo ili tukuone unajua mpira...acha Ushamba na Ubishi wa kijinga wewe
We ndio mshamba hujui mpira unataka kuanza kudanganya watu hapa kujisifia eti nacheza daraja ambalo hujawahi kufika kenge Kweli wewe unafikiri humu ni mabumunda wenzio kama huko kwenu kuwadanganya ovyo we mpira hujui kuchambua Wala kuucheza
 
Back
Top Bottom