Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Salah Saka halaand Jude mbappe vincus junior Jamal musiala lewandowsk lamine Yamal hao wote ni wachezaji world class player wanacheza kizazi chochote Lana kama hao uliowataja wanamiguu sita ndio Hawa vijana hawatocheza
Wote hao uliowataja ni takataka ,hamna wa kuingia hata nusu ya hao vijeba niliwataja , acha kujiaibisha
 
Wote hao uliowataja ni takataka ,hamna wa kuingia hata nusu ya hao vijeba niliwataja , acha kujiaibisha
Ndio maana na Mimi nikasema hao wazee uliowataja waliokua wanakimbiakimbia bila mfumo kama machizi uwanjani ni takataka hivyo tumekubaliana Kila mtu anaona Kwa upande wake ni takataka usifosi tufanane
 
Aaron lennon
Clint dempsey
Darrent bent
Gabby aghobhonlar
adebayor
Miguel perez michu

Yani hao jamaa kwa zaman walikua kama watkins kwa saivi ila utona hao miamba ilikua moto kuliko gene ya sasa ila kwa zaman walikua mid team strikers
Watu unapenda kutukuza watu wa zamani ila Mimi Huwa sikubari kabisa

Ndiyo Bangi za chuji anasema ety AUCHO kwake mrembo tu
 
Aaron lennon
Clint dempsey
Darrent bent
Gabby aghobhonlar
adebayor
Miguel perez michu

Yani hao jamaa kwa zaman walikua kama watkins kwa saivi ila utona hao miamba ilikua moto kuliko gene ya sasa ila kwa zaman walikua mid team strikers
Hamna kitu hapo
 
Haya mambo ya kuona wa zamani ndio walikuwa na viwango na kujua kila kitu ndio maana Kane aliwatolea uvivu maveteran wa England
 
Kwa mtazamo wangu mpira wa Ulaya ulianza kushuka baada ya Italy kuporomoka kisoka, kuanzia ligi na vilabu vyao hadi timu yao ya taifa.

Italy ndiyo ulikuwa muhimili wa soka la Ulaya na ilikuwa hauwezi kuitwa mchezaji bora duniani hadi uwe unachezea moja ya vilabu vya Italy. Ligi za France na Germany zimeshindwa kuziba hilo pengo la Italy kiufasaha pamoja na kwamba timu zao za taifa zimekuwa zinafanya vizuri.

Nasemaga siku zote EPL haijawahi kuwa ligi bora Ulaya, imepandishwa tu na marketing na kwa kiasi naweza kusema inachangia kuvuruga muelekeo wa mpira wa Ulaya.
 
Kwa mtazamo wangu mpira wa Ulaya ulianza kushuka baada ya Italy kuporomoka kisoka, kuanzia ligi na vilabu vyao hadi timu yao ya taifa.

Italy ndiyo ulikuwa muhimili wa soka la Ulaya na ilikuwa hauwezi kuitwa mchezaji bora duniani hadi uwe unachezea moja ya vilabu vya Italy. Ligi za France na Germany zimeshindwa kuziba hilo pengo la Italy kiufasaha pamoja na kwamba timu zao za taifa zimekuwa zinafanya vizuri.

Nasemaga siku zote EPL haijawahi kuwa ligi bora Ulaya, imepandishwa tu na marketing na kwa kiasi naweza kusema inachangia kuvuruga muelekeo wa mpira wa Ulaya.
We mpira hujui utaonaje ubora wa EPL wakati hujui mpira
 
Watu unapenda kutukuza watu wa zamani ila Mimi Huwa sikubari kabisa

Ndiyo Bangi za chuji anasema ety AUCHO kwake mrembo tu
We kijana wa mwaka 2000,

1.Pale Cameroon leo kuna mchezaji kama Samuel Eto'o?

2.Liberia kuna George Weah mwingine kwenye soka?

3.Ile Nigeria ya akina Sunday Oliseh,Jay Jay Okocha na wenzake uliwahi kuiona? Hawa machoko wa leo wa Nigeria uwalinganishe na hivyo vyuma vya zamani?

4.Vile vitoto vibishoo vya Brazil ukisema utafute mwenye uwezo kama wa Ronaldo De Lima au Ronaldinho utampata?

5.Kwenye Muziki wa Pop,leo kuna mkali wa kulingana na Michael Jackson? Vipi kwenye Reagge, yupo anayemzidi Bob Marley,Peter Tosh au Lucky Dube?Huyo Gregory Isaac tu huwezi kumpata.

6.Kule kwenye basketball ninaimani hukuwahi kumuona Michael Jordan.
 
We kijana wa mwaka 2000,

1.Pale Cameroon leo kuna mchezaji kama Samuel Eto'o?

2.Liberia kuna George Weah mwingine kwenye soka?

3.Ile Nigeria ya akina Sunday Oliseh,Jay Jay Okocha na wenzake uliwahi kuiona? Hawa machoko wa leo wa Nigeria uwalinganishe na hivyo vyuma vya zamani?

4.Vile vitoto vibishoo vya Brazil ukisema utafute mwenye uwezo kama wa Ronaldo De Lima au Ronaldinho utampata?

5.Kwenye Muziki wa Pop,leo kuna mkali wa kulingana na Michael Jackson? Vipi kwenye Reagge, yupo anayemzidi Bob Marley,Peter Tosh au Lucky Dube?Huyo Gregory Isaac tu huwezi kumpata.

6.Kule kwenye basketball ninaimani hukuwahi kumuona Michael Jordan.
Delima ana goal ngapi national team?

Mbona neymar kavunja records zote?
 
Watu unapenda kutukuza watu wa zamani ila Mimi Huwa sikubari kabisa

Ndiyo Bangi za chuji anasema ety AUCHO kwake mrembo tu
Hao wailkua wakali kweli sabab mpira haukua na tactic sana gape la anayejua na asiyejua lilikua kubwa sana

Sasa hivi ni tactics zaidi no wonder brighton anamfunga hata barcelona akikaa vibaya
2004 promising player kama Ansu fati hawezi akawa na kiwango cha kucheza barcelona alafu aje kucheza brighton apigwe bench na kaoru mitoma
 
We kijana wa mwaka 2000,

1.Pale Cameroon leo kuna mchezaji kama Samuel Eto'o?

2.Liberia kuna George Weah mwingine kwenye soka?

3.Ile Nigeria ya akina Sunday Oliseh,Jay Jay Okocha na wenzake uliwahi kuiona? Hawa machoko wa leo wa Nigeria uwalinganishe na hivyo vyuma vya zamani?

4.Vile vitoto vibishoo vya Brazil ukisema utafute mwenye uwezo kama wa Ronaldo De Lima au Ronaldinho utampata?

5.Kwenye Muziki wa Pop,leo kuna mkali wa kulingana na Michael Jackson? Vipi kwenye Reagge, yupo anayemzidi Bob Marley,Peter Tosh au Lucky Dube?Huyo Gregory Isaac tu huwezi kumpata.

6.Kule kwenye basketball ninaimani hukuwahi kumuona Michael Jordan.
We itakua shoga maana hapo umeongelea mashoga watupu wa zamani
 
Back
Top Bottom