Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Mtoa mada uko sahihi kabisaaa,mm nilikuwa shabiki lialia wa arsenal lkn cku hizi hainishtui tena aisee ifungwe isifungwe yaan hanishtui.Big matches zote za uingereza yaan hazinishtui tena cjui kwann aisee
Sio wewe tu, hata Washabiki wengi wa Uingereza...Die hard fans wanacomment hivyohivyo kule X
 
Ili uweze kufanya mlingano wa football lazima uwe umeangalia WC ya kuanzia 98 hata kwa kurudia you tube kama utapata.
Umeongea point nyingi ila kwa Neimar umepotea.
Brazil haijawawi kumtegemea balm dancer. Nilivyoona Neimar ndiye mchezaji hatari nilijua kabisaa Brazil iliishiwa vipaji ktk WC. Denlson alikuwa type ya Neimar na alikaa mkeka.
Hapo kwa Xavi Hernandez uko sawa.
Kwa mtu aliyekosa kumuangalia Xavi, Zidane, De Lima, Figo, Requlme, Folan, Davol Sucker, Diego Simeon, Raul, Pirlo, au tuseme basi mtu aliyeanza kuangalia Mpira 2010 hawezi kuelewa vipaji ni nini
Ukweli mtupu
 
Watu unapenda kutukuza watu wa zamani ila Mimi Huwa sikubari kabisa

Ndiyo Bangi za chuji anasema ety AUCHO kwake mrembo tu
Chuji hajamkuta Aucho hapo alidanganya pakubwa.
Ila kuna wachezaji wa zamani wanawazidi wasasa ktk prime time zao
 
Mtoa mada uko sahihi kabisaaa,mm nilikuwa shabiki lialia wa arsenal lkn cku hizi hainishtui tena aisee ifungwe isifungwe yaan hanishtui.Big matches zote za uingereza yaan hazinishtui tena cjui kwann aisee
Arsenal ya sasa hv star ni Bukayo Saka. Dogo hana style nyingine zaidi ya kubana wing na mpira aanze kuingia ndani. Very predictable and boring. Sometimes naamini kabisa kuwa ana uwezo zaidi ya hapo ila haruhusiwi kufanya tofauti. Hii kitu kwny African football haipo bado coz makocha bado wameruhusu vijana wacheze kwa vipaji vyao. Bado nakubaliana na mtoa mada 💯
 
Kuwa basi na Adabu, matusi ya nini Bwanamdogo?

Umeshawaona hao Wachezaji waliotajwa wakiwa Uwanjani? Twende taratibu coz umeniambia unaujua mpira vizuri

Sipendi utukane kwasababu utapigwa Ban halafu mjadala hautanoga
Wewe tulishamaliza mjadala BAADA YA kutoka kwenye mada za mpira na kutaka kudanganya watu hapa unachezea mpira kumbe hamna kitu tafuta wa kujadiliana nae sababu hujui kitu na ulishatoka kwenye mada za mpira
 
Arsenal ya sasa hv star ni Bukayo Saka. Dogo hana style nyingine zaidi ya kubana wing na mpira aanze kuingia ndani. Very predictable and boring. Sometimes naamini kabisa kuwa ana uwezo zaidi ya hapo ila haruhusiwi kufanya tofauti. Hii kitu kwny African football haipo bado coz makocha bado wameruhusu vijana wacheze kwa vipaji vyao. Bado nakubaliana na mtoa mada 💯
Hujui mpira kashangilie rede
 
Ili uweze kufanya mlingano wa football lazima uwe umeangalia WC ya kuanzia 98 hata kwa kurudia you tube kama utapata.
Umeongea point nyingi ila kwa Neimar umepotea.
Brazil haijawawi kumtegemea balm dancer. Nilivyoona Neimar ndiye mchezaji hatari nilijua kabisaa Brazil iliishiwa vipaji ktk WC. Denlson alikuwa type ya Neimar na alikaa mkeka.
Hapo kwa Xavi Hernandez uko sawa.
Kwa mtu aliyekosa kumuangalia Xavi, Zidane, De Lima, Figo, Requlme, Folan, Davol Sucker, Diego Simeon, Raul, Pirlo, au tuseme basi mtu aliyeanza kuangalia Mpira 2010 hawezi kuelewa vipaji ni nini
We hujui mpira umeongea pumba tupu
 
We hujui mpira umeongea pumba tupu
Ulimtizama Okocha akiwa anacheza timu gani?
WC ya 2002 Korea Japan uliiona ukiwa kidato cha ngapi?
Ulimuona Robert Mboma akiifunga Ufaransa? Taribo West ? Je? 2006 umeiona Ghana yenye vipaji ya Appiah ikicheza na Brazil? Fainali ya Liver na Ac Milan uliiona? Batistuta umemuona akicheza?
Inshu hapa siyo kukutajia hao wachezaji inshu ya mtoa mada ni ubunifu wa wachezaji na vipaji vyao halisi wkiwa uwanjani.
Mifumo imekuwa kitu muhimu zaidi kuliko vipaji. Kuna ubaya na uzuri wa hii kitu.
Ukuondoa racism Yaya Toure anaingia ktk utata na Pep kwa sababu ya mfumo na siyo kipaji. Pep Mfumo wake unatka kilo chache kwa kiungo. Fergie anakosa vipaji alivyokuwa anavitaka mpk anamrudisha Scholes.
Hata hivyo kulikuwa na wachezaji flops ktk hizo zama pia siyo wooote walikuwa wazuri
 
Ulimtizama Okocha akiwa anacheza timu gani?
WC ya 2002 Korea Japan uliiona ukiwa kidato cha ngapi?
Ulimuona Robert Mboma akiifunga Ufaransa? Taribo West ? Je? 2006 umeiona Ghana yenye vipaji ya Appiah ikicheza na Brazil? Fainali ya Liver na Ac Milan uliiona? Batistuta umemuona akicheza?
Inshu hapa siyo kukutajia hao wachezaji inshu ya mtoa mada ni ubunifu wa wachezaji na vipaji vyao halisi wkiwa uwanjani.
Mifumo imekuwa kitu muhimu zaidi kuliko vipaji. Kuna ubaya na uzuri wa hii kitu.
Ukuondoa racism Yaya Toure anaingia ktk utata na Pep kwa sababu ya mfumo na siyo kipaji. Pep Mfumo wake unatka kilo chache kwa kiungo. Fergie anakosa vipaji alivyokuwa anavitaka mpk anamrudisha Scholes.
Hata hivyo kulikuwa na wachezaji flops ktk hizo zama pia siyo wooote walikuwa wazuri
Hao wachezaji wote uliowataja nimewaona na ni wakawaida sana tena sana acheni kudanganya vijana
 
Ulimtizama Okocha akiwa anacheza timu gani?
WC ya 2002 Korea Japan uliiona ukiwa kidato cha ngapi?
Ulimuona Robert Mboma akiifunga Ufaransa? Taribo West ? Je? 2006 umeiona Ghana yenye vipaji ya Appiah ikicheza na Brazil? Fainali ya Liver na Ac Milan uliiona? Batistuta umemuona akicheza?
Inshu hapa siyo kukutajia hao wachezaji inshu ya mtoa mada ni ubunifu wa wachezaji na vipaji vyao halisi wkiwa uwanjani.
Mifumo imekuwa kitu muhimu zaidi kuliko vipaji. Kuna ubaya na uzuri wa hii kitu.
Ukuondoa racism Yaya Toure anaingia ktk utata na Pep kwa sababu ya mfumo na siyo kipaji. Pep Mfumo wake unatka kilo chache kwa kiungo. Fergie anakosa vipaji alivyokuwa anavitaka mpk anamrudisha Scholes.
Hata hivyo kulikuwa na wachezaji flops ktk hizo zama pia siyo wooote walikuwa wazuri
Kuifunga ufaransa ni issue mbona yule mcameroon kaifunga Brazil

Fainal nzuri za UEFA zipo nyingi tu kuzidi ya AC milan
 
Nilikuwa siambiwi kitu Kwa Man U
Man U ikifungwa Hata chakula Kilikuwa Hakiliki
Kwasasa Sijui hata Imecheza Lini
Sijui ina points ngap
Nikiambiwa Imefungwa Kama Vile nimeambiwa Kuna Mbuzi kapotea huko Malawi!!
Yaani hata Roho Kustuka hakuna!
Nimebakia na Simba hii ndio Inayo nitesa sana japo Simuda nayo ...
Watu wa betting wameshachoka nae yule bwana habebeki🤣
 
I salute you kinsmen.
Binafsi nimeanza kufuatilia soka la ulaya muda kidogo Liverpool die hard fans.

Lakini tuseme ukweli ligi za ulaya kwa sasa uwezo wa wachezaji umekuwa mdogo sana na hakuna vipaji kabisa asilia yaani ile pure talent hakuna kabisa.

Hasa hasa EPL nowdays huwa nafuatilia game za Liverpool basi tu sababu ya kuipenda team ila kwa sasa sioni zile pure talent kama zama zile ..

Tulikuwaga na Xabi alonso anazima pale na mascherano kati halafu Steven Gerald. Lakini leo tuna wataru Hendo,

Tukikuwaga na watu wa kazi Denis Bergkamp pale arsenal lakini leo tuna Gabriel jesus, na taka taka zingine kama Halaand pale Man City.

Hebu fikiria watu kazi kama Vidic,Rio ferdinand, Ashley Cole, patrice Evra,dirk kuyt, hawapo tena,

hebu wazia pale Qpl ya moto enzi zile yaani full kuenjoy.

Binafsi ukiniuliza nitakwambia kwa sasa CAF champions league ni bora kuliko Uefa ya sasa hivi . UEFA ya mwisho kuwa nzuri zaidi ni ile 2015/2016! Baada ya hapo ni maigizo matupu na ujinga ujinga.

Wachezaji nowdays wamekariri mifumo kutoka kwa makocha kama maroboti yaani hatuoni zile extra talent kutoka kwao .

Sikuhizi mchezaji kufunga goli la uwezo binafsi ni ngumu sana sana zaidi ya kufuata mfumo kama robot..

Naamini Neymar ndiyo talent ya mwisho ambayo ilibaki na ilitegemewa kufanya makubwa lakini ndio vile mnamuona tena mwenyewe kijana umri umesogea..

Nadhani ligi ya EPL ndiyo imeshakuwa ya kidwanzi sana kufuatilia hakuna tena soka la burudani kama zamani zaidi mifumo mipya ya hovyo wachezaji waifuate kama robot.

No wonder wachezaji kama Halaand wanacheza na wanaonekana bora sana, na wanafikia mpka kugombania tuzo kubwa kubwa ni ujinga.

Marefa wa epl ndio kituko kabisa hawana tofauti na huku Bongo wana VAR lakini bado maamuzi ni kichekesho.

Angalau Spain bado wana mpira wao asili kidogo unafurahia kuenjoy.

Afadhali hata ligi ya Tanzania kuna magoli yanafungwa unaona kabisa huu ni uwezo binafsi kabisa kuliko EPL ya sasa aseeh
Akili Yako haiko sawa inabidi ukapimwe malaria eti CAF izizidi UEFA hivi unaakili timamu kweli aisee nilikuaga sijawahi kuona vituko ila Leo nimeona mzee hujui mpira we angalia hiyo caf sababu hujui mpira nikuambie tu ulaya vipaji vipo na vitaendelea kuwepo hao wachezaji uliowataja wa zamani ni wakawaida sana na wapo mpaka kwenye timu ndogo pale EPL Sasa hivi
ni kama dunia imeendelea kupoteza ladha yake. AI (Artificial Intelligence) inasababisha kila kitu kiende ki-roboti, roboti.

angalia mtu kama Haland kuna nini mule sasa!
 
Back
Top Bottom