Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

Nitajie streka waki wa zamani aliecheza mechi idadi kama za halaand na akafunga magoli kama ya hiyo idadi akiwa na miaka kama ya halaand 24
nazungumzia zaidi kwa habari ya ladha ya soka. unaweza ukafunga lakini goli halina ile soccer taste

sioni kipaji pale

ndicho alichokuwa anasema mleta mada kwa habari ya kucheza kirobot-robot
 
nazungumzia zaidi kwa habari ya ladha ya soka. unaweza ukafunga lakini goli halina ile soccer taste

sioni kipaji pale

ndicho alichokuwa anasema mleta mada kwa habari ya kucheza kirobot-robot
Kazi ya halaand nini naona kama huna uelewa na unachoongea mtu kazi yake kufunga Sasa wewe unataka Radha kwani yeye kiungo hii inaonesha hujui mpira yaani hujui hata halaand kazi yake ni Nini akiwa uwanjani hamna kipaji eti enh timu zote hizo zinazomuhitaji halaand hazina akili wewe wa huku kajamba nani ndio uone hamna kipaji
 
Kazi ya halaand nini naona kama huna uelewa na unachoongea mtu kazi yake kufunga Sasa wewe unataka Radha kwani yeye kiungo hii inaonesha hujui mpira yaani hujui hata halaand kazi yake ni Nini akiwa uwanjani
hana kipaji yule bro. ni mifumo tu wa timu unambeba. siku acheze QPR ndio utanielewa.
 
hana kipaji yule bro. ni mifumo tu wa timu unambeba. siku acheze QPR ndio utanielewa.
Nenda kacheze wewe ubebwe na mfumo halafu hivi unaakili timamu kweli mchezaji mkubwa kama halaand aende kucheza QPL kufanya nini yaani arudi timu ndogo wakati alishapita hizo levo hivi unaakili timamu kweli we jamaa maana naweza kuwa nachat na chizi
 
I salute you kinsmen.
Binafsi nimeanza kufuatilia soka la ulaya muda kidogo Liverpool die hard fans.

Lakini tuseme ukweli ligi za ulaya kwa sasa uwezo wa wachezaji umekuwa mdogo sana na hakuna vipaji kabisa asilia yaani ile pure talent hakuna kabisa.

Hasa hasa EPL nowdays huwa nafuatilia game za Liverpool basi tu sababu ya kuipenda team ila kwa sasa sioni zile pure talent kama zama zile ..

Tulikuwaga na Xabi alonso anazima pale na mascherano kati halafu Steven Gerald. Lakini leo tuna wataru Hendo,

Tukikuwaga na watu wa kazi Denis Bergkamp pale arsenal lakini leo tuna Gabriel jesus, na taka taka zingine kama Halaand pale Man City.

Hebu fikiria watu kazi kama Vidic,Rio ferdinand, Ashley Cole, patrice Evra,dirk kuyt, hawapo tena,

hebu wazia pale Qpl ya moto enzi zile yaani full kuenjoy.

Binafsi ukiniuliza nitakwambia kwa sasa CAF champions league ni bora kuliko Uefa ya sasa hivi . UEFA ya mwisho kuwa nzuri zaidi ni ile 2015/2016! Baada ya hapo ni maigizo matupu na ujinga ujinga.

Wachezaji nowdays wamekariri mifumo kutoka kwa makocha kama maroboti yaani hatuoni zile extra talent kutoka kwao .

Sikuhizi mchezaji kufunga goli la uwezo binafsi ni ngumu sana sana zaidi ya kufuata mfumo kama robot..

Naamini Neymar ndiyo talent ya mwisho ambayo ilibaki na ilitegemewa kufanya makubwa lakini ndio vile mnamuona tena mwenyewe kijana umri umesogea..

Nadhani ligi ya EPL ndiyo imeshakuwa ya kidwanzi sana kufuatilia hakuna tena soka la burudani kama zamani zaidi mifumo mipya ya hovyo wachezaji waifuate kama robot.

No wonder wachezaji kama Halaand wanacheza na wanaonekana bora sana, na wanafikia mpka kugombania tuzo kubwa kubwa ni ujinga.

Marefa wa epl ndio kituko kabisa hawana tofauti na huku Bongo wana VAR lakini bado maamuzi ni kichekesho.

Angalau Spain bado wana mpira wao asili kidogo unafurahia kuenjoy.

Afadhali hata ligi ya Tanzania kuna magoli yanafungwa unaona kabisa huu ni uwezo binafsi kabisa kuliko EPL ya sasa aseeh
Haaland ni takataka mkuu🤔?, wakati kila siku anavunja rekodi za hao magwiji tena kwa mechi chache tu.
 
Duuh, labda kwa chuki binafsi au mtazamo wako, lakin ukiangalia statistics za haaland ni bora zaid kushinda washambuliaji wote waliowahi cheza epl per game ratio
Ndio maana nakuambia hajui mpira Mimi sio shabiki wa city ila huyo jamaa ni hatari mechi chache Gori nyingi na Wala haongei sana walisema atafeli ila yeye anafanya kazi tu
 
Naomba nitajie mchezaji wa zamani anayemzidi Messi kipaji na mafanikio maana wewe umetaja Kwa engo Yako na Mimi nitajie
Hoja ilikuwa vipaji. Messi pia anacho kipaji. Lakini si yeye tu mwenye kipaji peke yake. Hoja ni kuwa siku hizi vipaji vimepungua kulinganisha na zamani. Ndiyo maana Messi na Ronaldo kwa vipaji vyao wamekuwa top kwa miaka mingi. Lakini zamani ulikuwa huwezi kukuta football inagawanyika kwa mesi na Ronaldo hiyo ndiyo point. The means justifies the end. Messi unamlinganisha na Zidane ktk nini?
 
Hoja ilikuwa vipaji. Messi pia anacho kipaji. Lakini si yeye tu mwenye kipaji peke yake. Hoja ni kuwa siku hizi vipaji vimepungua kulinganisha na zamani. Ndiyo maana Messi na Ronaldo kwa vipaji vyao wamekuwa top kwa miaka mingi. Lakini zamani ulikuwa huwezi kukuta football inagawanyika kwa mesi na Ronaldo hiyo ndiyo point. The means justifies the end. Messi unamlinganisha na Zidane ktk nini?
Jibu swali taja mchezaji wa zamani anaemzidi Messi kipaji na mafanikio usiandike gazeti refu
 
Kuifunga ufaransa ni issue mbona yule mcameroon kaifunga Brazil

Fainal nzuri za UEFA zipo nyingi tu kuzidi ya AC milan
Inshu siyo kuifunga timu flani hapo nataka u boost memory ya vipaji vilivuokuwepo kipindi kile hata kwa kuangalia you tube.
Hata Nigeria iliifunga Brazil. Hapo naongelea talents. Ndiyo maana Romario anaachwa na Scholari anamchukua Gaucho. Pirlo na Del Pielo wanaamia fainali ya 2006 ni pure talent zile
 
Naomba nitajie mchezaji wa zamani anayemzidi Messi kipaji na mafanikio maana wewe umetaja Kwa engo Yako na Mimi nitajie
Messi na Ronaldo usiwaweke kwenye hii cartegory ya vijana wacheza soka wa sasa ,hawa ni wazee ambao ndio kizazi cha mwisho cha mafundi halisi wa soka na ni wazee ambao career zao zinaisha mwaka huu ,hawana hata miaka mitatu mbele , taja wachezaji wa sasa hawa
 
Back
Top Bottom