Mpira wetu vituko sana, sasa tunashindana nani kajaza mabasi mangapi?

Mpira wetu vituko sana, sasa tunashindana nani kajaza mabasi mangapi?

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
491
Reaction score
1,907
Wakati Al Ahly yupo Austria akijiandaa na mtanange wa African Super League na Ligi ya Mambingwa Afrika, wawakilishi wetu hapa Tanzania katika michuano ya Kimataifa Simba na Yanga wapo bize kushindana nani kajaza mabasi mangapi kuelekea mechi zao za kimataifa za ugenini.🤣

Hivi ni nani aliyeturoga? Anyway soka letu kivyetuvyetu.

Kila lenye heri kwa Uganda na Algeria usiku wa leo
 
Wakati Al Ahly yupo Austria akijiandaa na mtanange wa African Super League na Ligi ya Mambingwa Afrika, wawakilishi wetu hapa Tanzania katika michuano ya Kimataifa Simba na Yanga wapo bize kushindana nani kajaza mabasi mangapi kuelekea mechi zao za kimataifa za ugenini.🤣

Hivi ni nani aliyeturoga? Anyway soka letu kivyetuvyetu.

Kila lenye heri kwa Uganda na Algeria usiku wa leo
Kwa hio Yanga anajaza bus kwenda Morocco kucheza na El mereikh?
 
Wakati Al Ahly yupo Austria akijiandaa na mtanange wa African Super League na Ligi ya Mambingwa Afrika, wawakilishi wetu hapa Tanzania katika michuano ya Kimataifa Simba na Yanga wapo bize kushindana nani kajaza mabasi mangapi kuelekea mechi zao za kimataifa za ugenini.
 
Wakati Al Ahly yupo Austria akijiandaa na mtanange wa African Super League na Ligi ya Mambingwa Afrika, wawakilishi wetu hapa Tanzania katika michuano ya Kimataifa Simba na Yanga wapo bize kushindana nani kajaza mabasi mangapi kuelekea mechi zao za kimataifa za ugenini.[emoji1787]

Hivi ni nani aliyeturoga? Anyway soka letu kivyetuvyetu.

Kila lenye heri kwa Uganda na Algeria usiku wa leo
It is our different that make us beautifull
 
Wakati Al Ahly yupo Austria akijiandaa na mtanange wa African Super League na Ligi ya Mambingwa Afrika, wawakilishi wetu hapa Tanzania katika michuano ya Kimataifa Simba na Yanga wapo bize kushindana nani kajaza mabasi mangapi kuelekea mechi zao za kimataifa za ugenini.[emoji1787]

Hivi ni nani aliyeturoga? Anyway soka letu kivyetuvyetu.

Kila lenye heri kwa Uganda na Algeria usiku wa leo
Kwani shida iko wapi hapo?
 
Mbona mnapenda vya wenzenu, simba alishaenda uturuki yanga yupo kigamboni, na wote wanajiandaa we povu kama umekula sumu. Au wewe timu arabu mehala.
 
Wakati Al Ahly yupo Austria akijiandaa na mtanange wa African Super League na Ligi ya Mambingwa Afrika, wawakilishi wetu hapa Tanzania katika michuano ya Kimataifa Simba na Yanga wapo bize kushindana nani kajaza mabasi mangapi kuelekea mechi zao za kimataifa za ugenini.[emoji1787]

Hivi ni nani aliyeturoga? Anyway soka letu kivyetuvyetu.

Kila lenye heri kwa Uganda na Algeria usiku wa leo
sio kurogwa,huo ndio uwezo wetu, ulitaka sisi halifax novascotia,kwakuwa al ahly kaenda austria?usimuige tembo kunya utapasuka msamba
 
Wakati Al Ahly yupo Austria akijiandaa na mtanange wa African Super League na Ligi ya Mambingwa Afrika, wawakilishi wetu hapa Tanzania katika michuano ya Kimataifa Simba na Yanga wapo bize kushindana nani kajaza mabasi mangapi kuelekea mechi zao za kimataifa za ugenini.[emoji1787]

Hivi ni nani aliyeturoga? Anyway soka letu kivyetuvyetu.

Kila lenye heri kwa Uganda na Algeria usiku wa leo
As if wakishindana nani kajaza hayo mabasi maandalizi mengine yanasimama
 
Back
Top Bottom