Mpoki ni balaa

Acha ushamba ndio ma mc wote wachekeshaji ufanya ata ukifatilia tuzo za black entertainment television na mtv etc.

Nina cd nyingi za b.e.t na mtv nitafute nikutumie uone na kamwe huwezi shangaa mpoki alivyofanya

Hao kina Kevin Hrt, JB, Criss Turker hawafanyi mbwembwe mwanzo mwisho, na wakati wa utani ni utani. Utani unakua umepangiliwa.

Ndugu Mpoki alikua shaghala baghala, linalokuja kinywani analitoa. Angepangilia utani, show ingekua nzuri.

Shadee ni majangaaa!
 
Asante mpoki, nabii hakubariki kwao!

Kazi nzuri sanaaaa.
 
Hivi 'bahili' ni tusi?mi mwenyewe mbahili

Bonny Love alichukia kuitwa bahili na alijionyesha wazi jukwaani,
Jamaa ni bonny love kweli pengine aliona kitu akawa anajenga mazingila mpoki akamharibia, or kwa heshima aliyojizolea ktk Tasnia ya u DJ aliona ameshushiwa heshima sana.
 
Mi namshukuru sana Mungu kwa kuniepusha na mahaba ya upuuzu unaoitwa Bongo fleva, comedi za kibongo na mitaarabu yenu ya hovyo
 
Mkuu watu wamevunjiwa heshima hadharani we unashabikia?
Kiongozi mimi sishabikii kuvunjiwa heshima, na kikubwa sikuangalia ...bali nimefuatilia mjadala hapa nikaona karibia yote yaliyosemwa yana ukweli..mfano Msanii fulani wa kiume KUWA MWEUPE ZAIDI.....
 
Kiongozi mimi sishabikii kuvunjiwa heshima, na kikubwa sikuangalia ...bali nimefuatilia mjadala hapa nikaona karibia yote yaliyosemwa yana ukweli..mfano Msanii fulani wa kiume KUWA MWEUPE ZAIDI.....

Kweli mkuu alikuwa anawaambia ukweli! Kama Vannesa Mdee angeongea kiswahili pale kulikuwa na tatizo gani? Maana wengi tunajua anajua kiingereza! Ila Jana ndiyo nimejua Kuwa ni mpare sikuwa najua kabila lake.
 
 
ngoja na mim niitafte kampala ncje nkaondoka bukoba kabla cjafka mana mpok kasema n km chache 2
Mkuu ni sh 15,000 kwa basi na kila siku usafiri upo. Jitahidi ufike ujionee KLA na ENTEBBE maana ni miji inayotofautiana kwa umbali wa 40 km tu
 
Ha ha ha! Eti hawataki wake zao wale cha juu!! Kwi kwi kwi kwi kwi !!!!

Ninachojua mimi wenzetu wa visiwahi huwa wanaenda wenyewe sokoni kuwapunguzia wake zao na mitihani ya barabarani mpaka sokoni hebu utafiti na farkhina tufafanulie katika hili.
 
Last edited by a moderator:
Ninachojua mimi wenzetu wa visiwahi huwa wanaenda wenyewe sokoni kuwapunguzia wake zao na mitihani ya barabarani mpaka sokoni hebu utafiti na farkhina tufafanulie katika hili.

Yah nikweli Rich Pol ishu za sokoni mimi mwenyewe ndio naenda...
 
Last edited by a moderator:
Si Wana Kipind Chao Kina Itwa Makavu Laivu Laivu Naona Alikifanyia Kaz Haswa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…