Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwenye hii picha uso wa lissu unasema mengi.Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
Hiyo video ama picha akiangua kilio iko wapi? Halafu mwambieni Lissu apungue hadi JK kamshangaa leo!!Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
Mungu ni mwemaa......sanaa Pole kwa yote Dr UliItakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
TutamwambiaHiyo video ama picha akiangua kilio iko wapi? Halafu mwambieni Lissu apungue hadi JK kamshangaa leo!!
Asante kwa dua zakoKwa hiyo nayo ni taarifa ishampeleka lissu ikulu!
Kumbe ndio maana jamaa ana litumbo likubwa?π
Kwahiyo?Kumbe ndio maana jamaa ana litumbo likubwa?π
Mwambie aanze kufanya mazoezi apunguze huo mtumbo kidogoπKwahiyo?
Ewe senior gasho umerudi?!Kumbe ndio maana jamaa ana litumbo likubwa?π
Kama raia wa mtaani kwa Lukas walipomwona mamake Lukas πππππNaona anabubujikwa na machozi ya furaha