Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ewe mchawiKwa hiyo nayo ni taarifa ishampeleka lissu ikulu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewe mchawiKwa hiyo nayo ni taarifa ishampeleka lissu ikulu!
Kama ni kweli kwamba alipoteza kazi yake kwa sababu alitimiza wajibu wake wa kitaaluma faithfully, basi sisi kama taifa tumefika mahali pabaya sana!Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
Yule mzee alidedi kotokana na ukatili mwingi aliowafanyia wanadamu. Asingeweza kubaki kwa roho mbaya Ile aliyokuwa nayoKama ni kweli kwamba alipoteza kazi yake kwa sababu alitimiza wajibu wake wa kitaaluma faithfully, basi sisi kama taifa tumefika mahali pabaya sana!
Mbona Dr. Mpoki amevaa saa 2 , moja kila mkono au moja ni mbovu?!Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
Ukiwahishwa hospitali utapona!Kwa hiyo nayo ni taarifa ishampeleka lissu ikulu!
Mungu akulinde Daktari Mpoki, dunia imekuwa sehemu bora kwa ajili ya watu kama wewe.Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
Hutaki aende ikuluKwa hiyo nayo ni taarifa ishampeleka lissu ikulu!
Jk atulie bwana , enzi zake zilisha pitaHiyo video ama picha akiangua kilio iko wapi? Halafu mwambieni Lissu apungue hadi JK kamshangaa leo!!
Mtoto wa mjini, we unafikili mpaka akaokoa icho chuma ni mtu wa mchezo mchezo, leo tupo na Dr's machawa kama sio makunguniMbona Dr. Mpoki amevaa saa 2 , moja kila mkono au moja ni mbovu?!
TUMIA AKILIKwa hiyo nayo ni taarifa ishampeleka lissu ikulu!
Aende tu si hata wewe unaweza kwenda kula futari!Hutaki aende ikulu
Mjinga wewe!TUMIA AKILI
Nenda kachambe!Ukiwahishwa hospitali utapona!
Mshika tunguri ni wewe!Ewe mchawi
Hakwenda Seif shariff,Lowassa, Mbowe na slaa..Asante kwa dua zako