Mpoki Ulisubisya akutana na Tundu Lissu kwenye Msiba wa Profesa Sarungi, Aangua Kilio

Mpoki Ulisubisya akutana na Tundu Lissu kwenye Msiba wa Profesa Sarungi, Aangua Kilio

Lissu ni muujiza wa Mungu unaotembea. Hata mie siku nikikutana na Lissu lazima nilie.

Nakumbuka siku Lissu amepigwa risasi nilipopata ile taarifa nilishusha sala hiyo hadi Mungu nafikiri alisema mwanangu leo umeomba.

Yote kwa yote. Tumshukuru Mungu.
ila like dude lilompiga risasi limeshalamba mchanga linasubiri kwenda motoni
 
Back
Top Bottom