Mpoki Ulisubisya akutana na Tundu Lissu kwenye Msiba wa Profesa Sarungi, Aangua Kilio

Mpoki Ulisubisya akutana na Tundu Lissu kwenye Msiba wa Profesa Sarungi, Aangua Kilio

Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.

Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.

Hawa hapa

View attachment 3265138View attachment 3265139
Aliyetaka kumuua TL na aliyemfuta kazi Mpoki ameshaoza kaburini. Ama kweli Mungu ni fundi sana.
 
Lisu miaka saba hajaweza kumtafuta mtu aliyemuokoa angalau ashukuru?
Elewa vizuri uzi mkuu. Hawajawahi kumuona akiwa mzima anatembea tangu alipoenda matibabu huko Ubelgiji. Wangeonana wapi wakati miaka yote alikuwa kitandani anaugua. Obviously watakuwa wameishawasiliana kwenye simu mara nyingi sana lakini hawajawahi kuonana live.
 
Lissu ni muujiza wa Mungu unaotembea. Hata mie siku nikikutana na Lissu lazima nilie.

Nakumbuka siku Lissu amepigwa risasi nilipopata ile taarifa nilishusha sala hiyo hadi Mungu nafikiri alisema mwanangu leo umeomba.

Yote kwa yote. Tumshukuru Mungu.
Ameen KUBWA!
Aliyetaka kumuua TL na aliyemfuta kazi Mpoki ameshaoza kaburini. Ama kweli Mungu ni fundi sana.
Mungu fundi,hupunguza vipengere!
 
Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.

Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.

Hawa hapa

View attachment 3265138View attachment 3265139
Huyo aliyelia ni mwanaume?!!!! Wakati analia aliegemeza kichwa chake kwenye bega la lissu au lissu aliegemeza bega lake kwenye kichwa chake?!!!
 
Elewa vizuri uzi mkuu. Hawajawahi kumuona akiwa mzima anatembea tangu alipoenda matibabu huko Ubelgiji. Wangeonana wapi wakati miaka yote alikuwa kitandani anaugua. Obviously watakuwa wameishawasiliana kwenye simu mara nyingi sana lakini hawajawahi kuonana live.
Bado alitakiwa kumtafuta kwa kushukuru. Amechelewa sana
 
Kwa hiyo nayo ni taarifa ishampeleka lissu ikulu!
Kwenda Ikulu ili iweje? Ukienda ikulu utaishi milele? Yule mwendawazimu alikwenda huko akadhani ataishi milele, akawa kazi yake ni kuua watu, yuko wapi sasa hivi. Ma-fisiem wenzake walikuwa wanamlia timing tu. Ona na ile miradi yake ya kihuni aliyoanzisha nyingi haina faida. L-kiwanja la ndege huko Chato limegeuka kuwa uwanja wa kuanikia pamba. Alikata miti kibao eti anajenga bwawa la umeme mwingi na wa rahisi, na unaobakia wauze nje, ona sasa badala yake wanakimbilia kununua umeme Ethiopia. Na bado. Miradi mingi alifanya itakufa bila faida yoyote.
 
Huyo aliyelia ni mwanaume?!!!! Wakati analia aliegemeza kichwa chake kwenye bega la lissu au lissu aliegemeza bega lake kwenye kichwa chake?!!!
Wewe ni mjinga kama yule mwendawazimu wa Chato aliyekata malaki ya miti kujenga bwawa fix ambalo halitoi umeme.
 
Usishangae. Mpaka vyombo vya habari vimepigwa marufuku kutangaza msiba huu. Nimeshangaa sana, huwa naangalia taarifa ya habari ITV kila siku ila sikuona hata siku moja wakitangaza msiba wa mzee wetu. Akina Mafuru walindelea kutangazwa hata baada ya kuzikwa lakini siyo huyu mzee. Utawakuta wamejikunja misikitini au wamepiga goti makanisani kumbe ni watumishi wa shetani tu. Eti wamefunga. Unafunga huku chuki inatokota kifuani
Ulikuwa umekufa kwanza?
 
Kwenda Ikulu ili iweje? Ukienda ikulu utaishi milele? Yule mwendawazimu alikwenda huko akadhani ataishi milele, akawa kazi yake ni kuua watu, yuko wapi sasa hivi. Ma-fisiem wenzake walikuwa wanamlia timing tu. Ona na ile miradi yake ya kihuni aliyoanzisha nyingi haina faida. L-kiwanja la ndege huko Chato limegeuka kuwa uwanja wa kuanikia pamba. Alikata miti kibao eti anajenga bwawa la umeme mwingi na wa rahisi, na unaobakia wauze nje, ona sasa badala yake wanakimbilia kununua umeme Ethiopia. Na bado. Miradi mingi alifanya itakufa bila faida yoyote.
Tukufanyaje kuhusu haya maelezo!
 
Back
Top Bottom