Lisu miaka saba hajaweza kumtafuta mtu aliyemuokoa angalau ashukuru?Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
ndiyo mlete propaganda kuwa aliyetaka kumwua Lissu siyo Magufuli?Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
Mh! You mean miaka yote hiyo hakuwahi kuona umuhimu wa kumtafuta mtu muhimu kama huyu mpaka wagongane msibani!!?Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
May GOD bless him abundantly...Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
Wanasema bado wanawatafuta na hawawajuimpaka walimshusha nyadhifa zake ni wazi walitaka lisu afe.
bado tunamtafuta aliyetaks kumuua lisu.kweli watanzania kichwani tuna matope
Waliomsaidia Lissu wakati ule ni wengi mno. Je, angewezaje kuwapa shukrani wote physically??Hii inamaanisha lissu hana shukrani. Alipopona tu alitakiwa amtafute ila akauchuna kaishia kumtumia mwenzie kisiasa duh aiseee
Bado hujasemaTatizo lissu nyama na bia anakua kama furushi , Bora chadema irudie uchaguzi tena walau apungue
Ni fashionMbona Dr. Mpoki amevaa saa 2 , moja kila mkono au moja ni mbovu?!
Wewe si ndiye uliyegalagala sana siku ya kifo cha jiwe vipi hukuchubuka?Kwa hiyo nayo ni taarifa ishampeleka lissu ikulu!
Usishangae. Mpaka vyombo vya habari vimepigwa marufuku kutangaza msiba huu. Nimeshangaa sana, huwa naangalia taarifa ya habari ITV kila siku ila sikuona hata siku moja wakitangaza msiba wa mzee wetu. Akina Mafuru walindelea kutangazwa hata baada ya kuzikwa lakini siyo huyu mzee. Utawakuta wamejikunja misikitini au wamepiga goti makanisani kumbe ni watumishi wa shetani tu. Eti wamefunga. Unafunga huku chuki inatokota kifuaniKama ni kweli kwamba alipoteza kazi yake kwa sababu alitimiza wajibu wake wa kitaaluma faithfully, basi sisi kama taifa tumefika mahali pabaya sana!
Waliotaka kumdhulumu haki ya uhai roho zitaendelea kuwasuta hadi waingiapo kaburini. Si ajabu wadhulumu hawa wakatangulia na kumwacha akiendelea kuishi. Wapuuzi wachache walitaka kugeuza tofauti ya mawazo kuwa uadui wa vita ya bunduki.Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
Waliomsaidia Lissu wakati ule ni wengi mno. Je, angewezaje kuwapa shukrani wote physically??
Ni hizo mainstream media lakini ukiingia online media haswa huko you tube msiba umetangazwa.Usishangae. Mpaka vyombo vya habari vimepigwa marufuku kutangaza msiba huu. Nimeshangaa sana, huwa naangalia taarifa ya habari ITV kila siku ila sikuona hata siku moja wakitangaza msiba wa mzee wetu. Akina Mafuru walindelea kutangazwa hata baada ya kuzikwa lakini siyo huyu mzee. Utawakuta wamejikunja misikitini au wamepiga goti makanisani kumbe ni watumishi wa shetani tu. Eti wamefunga. Unafunga huku chuki inatokota kifuani
Kumbe ulikuwa hujui. ??!Kama ni kweli kwamba alipoteza kazi yake kwa sababu alitimiza wajibu wake wa kitaaluma faithfully, basi sisi kama taifa tumefika mahali pabaya sana!
Huyu Mpoki ni mcha Mungu,mbingu ataziona kwa kweli,Mama Samia muone mtu huyu si mnafiki kama wengine!Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
Kipara chako kimekosa Hekima na ufahamu,hapo sio Ikulu Mkuu,!Kwa hiyo nayo ni taarifa ishampeleka lissu ikulu!