Aliyetaka kumuua TL na aliyemfuta kazi Mpoki ameshaoza kaburini. Ama kweli Mungu ni fundi sana.Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
Daaah!Aliyetaka kumuua TL na aliyemfuta kazi Mpoki ameshaoza kaburini. Ama kweli Mungu ni fundi sana.
Elewa vizuri uzi mkuu. Hawajawahi kumuona akiwa mzima anatembea tangu alipoenda matibabu huko Ubelgiji. Wangeonana wapi wakati miaka yote alikuwa kitandani anaugua. Obviously watakuwa wameishawasiliana kwenye simu mara nyingi sana lakini hawajawahi kuonana live.Lisu miaka saba hajaweza kumtafuta mtu aliyemuokoa angalau ashukuru?
Ameen KUBWA!Lissu ni muujiza wa Mungu unaotembea. Hata mie siku nikikutana na Lissu lazima nilie.
Nakumbuka siku Lissu amepigwa risasi nilipopata ile taarifa nilishusha sala hiyo hadi Mungu nafikiri alisema mwanangu leo umeomba.
Yote kwa yote. Tumshukuru Mungu.
Mungu fundi,hupunguza vipengere!Aliyetaka kumuua TL na aliyemfuta kazi Mpoki ameshaoza kaburini. Ama kweli Mungu ni fundi sana.
Mwendazake hakutenda Wema kabisa!Kama ni kweli kwamba alipoteza kazi yake kwa sababu alitimiza wajibu wake wa kitaaluma faithfully, basi sisi kama taifa tumefika mahali pabaya sana!
Alijifunguzia maisha kwa Upumbavu wake mwenyewe!Yule mzee alidedi kotokana na ukatili mwingi aliowafanyia wanadamu. Asingeweza kubaki kwa roho mbaya Ile aliyokuwa nayo
Huwa analinganisha majira na nchi za wenzetu!Mbona Dr. Mpoki amevaa saa 2 , moja kila mkono au moja ni mbovu?!
Huwa husikilizi Wewe!ndiyo mlete propaganda kuwa aliyetaka kumwua Lissu ni Magufuli?
Huyo aliyelia ni mwanaume?!!!! Wakati analia aliegemeza kichwa chake kwenye bega la lissu au lissu aliegemeza bega lake kwenye kichwa chake?!!!Itakumbukwa kwamba kazi aliyoifanya Mpoki ya kuokoa Uhai wa Tundu Lissu pale Dodoma ilimgharimu vyeo vyote alivyokuwa navyo.
Hatimaye leo amekutana na Maiti iliyofufuka ya Tundu Lissu baada ya urefu wa miaka 7.
Hawa hapa
View attachment 3265138View attachment 3265139
Bado alitakiwa kumtafuta kwa kushukuru. Amechelewa sanaElewa vizuri uzi mkuu. Hawajawahi kumuona akiwa mzima anatembea tangu alipoenda matibabu huko Ubelgiji. Wangeonana wapi wakati miaka yote alikuwa kitandani anaugua. Obviously watakuwa wameishawasiliana kwenye simu mara nyingi sana lakini hawajawahi kuonana live.
Kwenda Ikulu ili iweje? Ukienda ikulu utaishi milele? Yule mwendawazimu alikwenda huko akadhani ataishi milele, akawa kazi yake ni kuua watu, yuko wapi sasa hivi. Ma-fisiem wenzake walikuwa wanamlia timing tu. Ona na ile miradi yake ya kihuni aliyoanzisha nyingi haina faida. L-kiwanja la ndege huko Chato limegeuka kuwa uwanja wa kuanikia pamba. Alikata miti kibao eti anajenga bwawa la umeme mwingi na wa rahisi, na unaobakia wauze nje, ona sasa badala yake wanakimbilia kununua umeme Ethiopia. Na bado. Miradi mingi alifanya itakufa bila faida yoyote.Kwa hiyo nayo ni taarifa ishampeleka lissu ikulu!
Wewe ni mjinga kama yule mwendawazimu wa Chato aliyekata malaki ya miti kujenga bwawa fix ambalo halitoi umeme.Huyo aliyelia ni mwanaume?!!!! Wakati analia aliegemeza kichwa chake kwenye bega la lissu au lissu aliegemeza bega lake kwenye kichwa chake?!!!
πππWewe ni mjinga kama yule mwendawazimu wa Chato aliyekata malaki ya miti kujenga bwawa fix ambalo halitoi umeme.
Poa, lkn Bado hujajibu swali.Wewe ni mjinga kama yule mwendawazimu wa Chato aliyekata malaki ya miti kujenga bwawa fix ambalo halitoi umeme.
Unaweza kumsaidia kujibu swali?πππ
Mkuu,Tatizo lissu nyama na bia anakua kama furushi , Bora chadema irudie uchaguzi tena walau apungue
Ulikuwa umekufa kwanza?Usishangae. Mpaka vyombo vya habari vimepigwa marufuku kutangaza msiba huu. Nimeshangaa sana, huwa naangalia taarifa ya habari ITV kila siku ila sikuona hata siku moja wakitangaza msiba wa mzee wetu. Akina Mafuru walindelea kutangazwa hata baada ya kuzikwa lakini siyo huyu mzee. Utawakuta wamejikunja misikitini au wamepiga goti makanisani kumbe ni watumishi wa shetani tu. Eti wamefunga. Unafunga huku chuki inatokota kifuani
Tukufanyaje kuhusu haya maelezo!Kwenda Ikulu ili iweje? Ukienda ikulu utaishi milele? Yule mwendawazimu alikwenda huko akadhani ataishi milele, akawa kazi yake ni kuua watu, yuko wapi sasa hivi. Ma-fisiem wenzake walikuwa wanamlia timing tu. Ona na ile miradi yake ya kihuni aliyoanzisha nyingi haina faida. L-kiwanja la ndege huko Chato limegeuka kuwa uwanja wa kuanikia pamba. Alikata miti kibao eti anajenga bwawa la umeme mwingi na wa rahisi, na unaobakia wauze nje, ona sasa badala yake wanakimbilia kununua umeme Ethiopia. Na bado. Miradi mingi alifanya itakufa bila faida yoyote.
haya nenda kafue buti la mwenyekiti!Wewe si ndiye uliyegalagala sana siku ya kifo cha jiwe vipi hukuchubuka?
Kama hujui kiu uliza upewe maana ila sababu ni mjinga hupewi maana!Kipara chako kimekosa Hekima na ufahamu,hapo sio Ikulu Mkuu,!