Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #61
Kama wananchi wenyewe hawatapaza sauti basi hata huyo mbunge atajiona ni malaika tu na wataendelea kuteseka tu
In God we Trust
Mpwpwa kipindi nasoma hadi leo ukienda unaweza ukahisi mambo ni mabaya kuliko nyuma tulikotoka.Mabadiliko ni madogo kuliko mategemea.Tuwaombee Viongozi wazione fursa zaidi.
In God we Trust