1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Ila kuwa makinNdiyo kawaida ya Uswazi palivyo si unajionea hata Mabibo,mwananyamala,mbagala nk
Hali ilivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kuwa makinNdiyo kawaida ya Uswazi palivyo si unajionea hata Mabibo,mwananyamala,mbagala nk
Hali ilivyo
Sipo huko nilitembea kitambo sana
Ok, ulifata karanga? Maana pale zimejaaSipo huko nilitembea kitambo sana
Hakika Mkuu
Ni kweli Mkuu.... jina kubwa sana tofauti na Uhalisia wake.... Yaani asubuhi saa 3 tu .... yakishaondoka Ngasere, Al Saedy na Nyembela... hupati tena usafiri wa kukufikisha japo Morogoro.... achilia mbali Dsm.... labda ufanye kuunga unga ..... mpk Panda 2 au KibaigwaJina kubwa mno ukiskia "Mpwapwa" unaweza shawishika kufika hiyo sehem,,
Huwa naskia ni ngome ya watu fulani,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nipe ramani.... ipo pande gani hiyo nyumba?Nilioneshwa nyumba aliyoishi Hamisa wa Mpwapwa aliyeimbwa na mzee Ongala,, [emoji23]
"Mie sio mgogo ni mkaguru"
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kuna huyu mbunge wa Ulanga somebody Godfrey sijui walitumia kigezo kipi kumpa ubunge. Muda wote anatema boko tuuuuuu.Sisi wapiga kura wako tumechoshwa na kuwa na Mbunge bubu bungeni. Tulikuchagua ukawasilishe mahitaji yetu bungeni na siyo kwenda kugonga meza.
Mpwapwa miundo mbinu ya barabara ni mibovu na shida ya maji ipo palepale na wewe unaendelea kugonga meza tu.
Jiandae kabisa maana uchaguzi wa mwaka huu hapati kura zetu maana tumekuchoka.
In God we Trust
Goodluck MlingaHalafu kuna huyu mbunge wa Ulanga somebody Godfrey sijui walitumia kigezo kipi kumpa ubunge. Muda wote anatema boko tuuuuuu
Umeisahau ile Kilimanjaro express ya Chuga,Ni kweli Mkuu.... jina kubwa sana tofauti na Uhalisia wake.... Yaani asubuhi saa 3 tu .... yakishaondoka Ngasere, Al Saedy na Nyembela... hupati tena usafiri wa kukufikisha japo Morogoro.... achilia mbali Dsm.... labda ufanye kuunga unga ..... mpk Panda 2 au Kibaigwa
Iko karibu na 4ways pale,, sasa fanya kama unaelekea msikitini wa sunni alafu ukate kushoto kuufata ule mzambarau amabo chini yaje kuna mafundi nguo, hapo hapo naskia aliwai kuishi hapo,,Mkuu nipe ramani.... ipo pande gani hiyo nyumba?
Hua wanawaweka reserve special kwa ajili ya kuwatukana matusi wakina Mbowe/wapinzani so hio ndio kazi yao kuu mjengoni.Halafu kuna huyu mbunge wa Ulanga somebody Godfrey sijui walitumia kigezo kipi kumpa ubunge. Muda wote anatema boko tuuuuuu
Kumechoka sanaMmawia, [emoji23][emoji23][emoji23] Mpwawa nimepamiss
Vipi ile clab pale mnapaita Manase,
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wananchi wa Ulanga walikubali huo ushenziHua wanawaweka reserve special kwa ajili ya kuwatukana matusi wakina Mbowe/wapinzani so hio ndio kazi yao kuu mjengoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko karibu na 4ways pale,, sasa fanya kama unaelekea msikitini wa sunni alafu ukate kushoto kuufata ule mzambarau amabo chini yaje kuna mafundi nguo, hapo hapo naskia aliwai kuishi hapo,,
.
Hii story nlipewa babu mmoja baada ya kumdadisi history ya mpwapwa.
Pia mzee akakazia wanawake wa mpwapwa wanababaika sana na wageni[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kuna huyu mbunge wa Ulanga somebody Godfrey sijui walitumia kigezo kipi kumpa ubunge. Muda wote anatema boko tuuuuuu.
Ule ni ujinga