Mpwpwa kipindi nasoma hadi leo ukienda unaweza ukahisi mambo ni mabaya kuliko nyuma tulikotoka.Mabadiliko ni madogo kuliko mategemea.Tuwaombee Viongozi wazione fursa zaidi.
Jiographia ya eneo ndiyo tatizo kama kweli Mpwapa ilisahili kuwa mmji basi flyovers zilihitajika ktk hayo unayaita mapalio mikondo ya maji Mjerumani alipapenda Mpwapa kama Lushoto hivyo nia yake ilikuwa kale kasehemu kadogo nyie mkatokahuko nakuvamia kuendeleza Mpwapwa ni gharama na kuna hitaji Akili kubwa ya ziada
We kiboko hata wakati wa uhai wa mzindakaya uliwahi kusema ni mwanakatavi!Mimi ni mwana Mpwapwa na mbunge wangu ni Lubeleje, ila safari hii akalee wajukuuu maana tumemchoka
In God we Trust
Sisi wapiga kura wako tumechoshwa na kuwa na Mbunge bubu bungeni. Tulikuchagua ukawasilishe mahitaji yetu bungeni na siyo kwenda kugonga meza.
Mpwapwa miundo mbinu ya barabara ni mibovu na shida ya maji ipo palepale na wewe unaendelea kugonga meza tu.
Jiandae kabisa maana uchaguzi wa mwaka huu hapati kura zetu maana tumekuchoka.
In God we Trust
Na Kongwa je? Kale ka-stand kake?[emoji23]
Ila naona ile barabara inawekwa Lami, nlipita november mwaka jana nikitokea mpwapwa,
Sijui ishafika Kongwa?
Ikifika Kongwa basi huenda ikafika na Mpwapwa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpwapwa imelala sana
La 7 oyeeeeShida ya Mpwapwa ni BARAZA LA MADIWANI,LUBELEJE ni moja wa mjumbe wa baraza la madiwani, wenye halmashauri sio wabunge tu ni pamoja na madiwani, madiwa ndio mabosi wa mkurugenzi ndio chombo kinachofanya maamuzi ya hatma ya maendeleo ya jimbo husika,
sijawai kuona madiwai viraza kama madiwani wa mpwapwa, hakika ndo wanao nifanya niichukie CCM , Mwenyekiti wa halmashauri ni darasa la pili na makamu wake darasa la nne, wagogo mnakwama wapi?
Mrudisheni yule naibu waziri wa fedhaSisi wapiga kura wako tumechoshwa na kuwa na Mbunge bubu bungeni. Tulikuchagua ukawasilishe mahitaji yetu bungeni na siyo kwenda kugonga meza.
Mpwapwa miundo mbinu ya barabara ni mibovu na shida ya maji ipo palepale na wewe unaendelea kugonga meza tu.
Jiandae kabisa maana uchaguzi wa mwaka huu hapati kura zetu maana tumekuchoka.
In God we Trust
Nimepiga Sana watoto huko
Tupo pamoja
Jina kubwa mno ukiskia "Mpwapwa" unaweza shawishika kufika hiyo sehem,,Mpwapwa imelala sana
[emoji23]Kati ya 2013 na 2015 nilikua Mpwapwa kwa ajili ya msomo katika chuo fulani pale...
Wakati huo mbunge alikua Gregory Teu, kuelekea uchaguzi nikasikia kuna Mzee ambaye ameshakua mbunge kwa miaka 25 anakuja ''kumpokea kijiti'' ndugu Teu anaitwa Mzee Lubeleje... Na kweli 2015 Mzee Lubeleje akashinda na hivyo kumfanya kuwa mbunge kwa miaka 30 by now.
Mimi sina tatizo na yeye kuwa mbunge kwa muda mrefu namna hiyo.... Tatizo langu ni kwa wana Mpwapwa kushindwa kumtoa huyo bwana licha ya kushindwa kuishawishi serikali kuwaletea maendeleo wanajimbo wake.
Namimi nasemaje, kama wana_Mpwapwa wataendelea kuzubaa zubaa.... Huyo mzee awe mbunge hata kwa miaka 70 ijayo ili akamilishe 100.
Hapa tatizo lipo kwa wananchi zaidi ya lilivyo kwa mbunge wao.
, ni vile wa bei cheeNimepiga Sana watoto huko
Ndiyo kawaida ya Uswazi palivyo si unajionea hata Mabibo,mwananyamala,mbagala nk, ni vile wa bei chee
Ila mi sikupiga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app