MWALIMU DAIMA
Senior Member
- Mar 4, 2023
- 129
- 263
Kama yepi??Mfanye mambo ya heshima ili muheshimiwe
Iv Kuna watu wanafanya Mambo ya hovyo kama madktar, manesi, ma injinia?? Acheni chuki na roho MbayaKama yepi??
Kitu kipi??Huyo Wala siyo wa kulaumiwa huyo ni msaada kwetu Lazima serikali ifanye kitu.
Wewe roho inakuuma nn kulipwa Ivo??tatizo serikali imechangia pakubwa sana kudharaulika kwa kada ya ualimu hila mdah hupo wanaweza wakasawazisha aiwezekan mtu na degree ualimu anayeanza kazi anapitwa mshahara na darasa la saba wa TPDF very sad mama Samoa wachungulie walimu mei mosi hii
Haki zipi??Jamaa ni mwalimu pia, anawasaidia kupaza sauti mpate haki zenu!
Kaz yetu ni ngumu sana lakini maslahi yetu ni kiduchu mnoKitu kipi??
Anachokosea ni lugha tu anayotumia kufikisha ujumbeKaz yetu ni ngumu sana lakini maslahi yetu ni kiduchu mno
Kaka tutalipwa mbinguni huu ni wito kaka, najua hii kazi ni ngumu lakini haina jinsi, muhimu turidhike tuKaz yetu ni ngumu sana lakini maslahi yetu ni kiduchu mno
Nyie mnaona mpo sawa?hakuna shida yoyote?Haki zipi??
Ainiumi chochote hila natamani kada hii ndio iongoze kwa mishahara minono miongoni mwa watumishiWewe roho inakuuma nn kulipwa Ivo??
Kaka endeleeni kuchapa Kazi siku zinakuja utapata faida kubwaKaz yetu ni ngumu sana lakini maslahi yetu ni kiduchu mno
Mi ni dada,ila yapaswa serikali itutazame katika Hilo....mambo ya mbinguni ni nadharia ...maisha ni sasa mkuuKaka tutalipwa mbinguni huu ni wito kaka, najua hii kazi ni ngumu lakini haina jinsi, muhimu turidhike tu
Tulia mambo mazuri yanakuja.Ainiumi chochote hila natamani kada hii ndio iongoze kwa mishahara minono miongoni mwa watumishi
Sorry dada,Mi ni dada,ila yapaswa serikali itutazame katika Hilo....mambo ya mbinguni ni nadharia ...maisha ni sasa mkuu
Nitafurai ikiwa hivoTulia mambo mazuri yanakuja.