Mpya kutoka kwa Sativa: Mafwele ameendelea kunitafuta, anataka nife, amedai bado hajamalizana na mimi

Labda wao wanajiona wataishi milele na madaraka yao!
Na inavyoonekana hata wale waliopotea na hawajapatikana mpaka leo ndiyo walifanyiwa hivyo na wakaliwa na wanyama wakali.
 
Wakuwaumiza na kuua ni, majambazi, maharamia na wanyanganyi, mpiga kelele mitandaoni ni wa kumtoza tu fine na vifungo!
 
Basi nikasikia tuu kichwani mwangu Mlio wa "tiiiiiiiiiiiiiinnnnngggggg" kisha nikajikuta nimeanguka chini, damu zinatoka mdomoni, puani, masikioni. Kisha nikaona mtu ananivua Pingu kwa haraka, mwingine ananivua Mask kisha wakaondoka kwa kukimbia.
 
kuna wengine kewenye vyama vya siasa waliambiwa kugombea nafasi Fulani ya uongozi kwenye chama hiki ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi, dah, hatunao πŸ’
 
Pole sana, haya ndiyo matunda hasi ya Uhuru tulioutaka, hawa wote kwa ujumla wao hawakuwahi kushika shilingi laki tano, sasa baada ya kuanza kuzishika wananchi wanakuwa adui zao wakihofia watawanyang'anya hiyo pesa.
 
Uwa nikikumbuka kila mwanadamu atalamba mchanga nabaki tu kusema Bora nile bia niishi maisha ambayo ni ya kawaida

Nisikose basic needs kwangu inatosha maisha haya yadunia bwana hayana maajabu yeyote

Kwangu Mimi nikiwa na biashara yakawaida Nina nyumba zangu mbili Nina shamba Nina usafiri sioni jipya duniani ziadi ya tamaa tu!!!
 
Kisha nikaambiwa "tunakurudisha Dar, uende ukatulie". Hapo nikapata nafuu huenda nitaishi tena, nilikuwa nimevimba sana miguu, nikajua hata nikirudishwa Dar hawatanirudisha nyumbani kwangu watanitupa njiani
Tumwachie Mungu tu, mkono wake huweza yoote
 
kuna wengine kewenye vyama vya siasa waliambiwa kugombea nafasi Fulani ya uongozi kwenye chama hiki ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi, dah, hatunao πŸ’
Weka upuuzi pembeni ubinadamu ukutawale. Vaa virtual vya huyu kijana anaeishi kwamaumivu makali hofu kwenye nchi yake. Mbaya zaidi aliyemtesa bado yupo anakula maisha yeye na familia yake bila wasiwasi wowote. Yawezekana yuko juu ya Mamlaka. Ila yuko Mkuu wa Mamlaka wa yote. Kuna mpuuzi kama wewe aitwae Bia Yetu aliwahi kusema eti " ni dua la kuku". Yuko wapi sasa???
 
kuna wengine kewenye vyama vya siasa waliambiwa kugombea nafasi Fulani ya uongozi kwenye chama hiki ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi, dah, hatunao πŸ’
MBOWE UYO KAPOTEZA WENGI SANA KINA WANGWE MAWAZO, AISEE SIASA MBAYA SANA KISA U KULINDA UENYEKITI WA CHAMA CHA UPINZANI JE AKIWA RAIS SI ATAMALIZA WOTE ABAK PEKEYAKE JAMANI HUYU MCHAGA WAWAPI???/
 
AKOME KUINGILIA MAMBO YA WATU YEYE YANA MUHUSU NINI ALIYATAKA MWENYEWE
 
kwani aliewapiga bit wanachama wake wengine wasithubutu kuzengea zengea kutaka kugombea nafasi yake ya uongozi, kwani kufanya hivyo ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi, yupo au hayupo?

unadhani ndugu, majamaa na marafiku za walionja sumu kwa ulimi wakapotea wanajiskiaje hivi sasa huku muungwa akiwa ana kula maisha tu bila wasiwasi wowote?

au unajikausha tu gentleman?πŸ’
 
MBOWE UYO KAPOTEZA WENGI SANA KINA WANGWE MAWAZO, AISEE SIASA MBAYA SANA KISA U KULINDA UENYEKITI WA CHAMA CHA UPINZANI JE AKIWA RAIS SI ATAMALIZA WOTE ABAK PEKEYAKE JAMANI HUYU MCHAGA WAWAPI???/
Aise, inauma sana na inasikitisha mno dah 🀭
 
MBOWE UYO KAPOTEZA WENGI SANA KINA WANGWE MAWAZO, AISEE SIASA MBAYA SANA KISA U KULINDA UENYEKITI WA CHAMA CHA UPINZANI JE AKIWA RAIS SI ATAMALIZA WOTE ABAK PEKEYAKE JAMANI HUYU MCHAGA WAWAPI???/
Duu! Mbowe ana nguvu zote hizo,kuizidi serikali?
Mbona serikali imadharaulika na baadhi ya watu hivi?
Mi siaminigi kama serikali inashindwa mbinu na Mbowe,aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…