much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Kusababu wao ndo wanafinance nchi kwaiyo lazima watoe maelekezoInahusiana nini na kiherehere cha kuelekeza uendeshaji wa nchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusababu wao ndo wanafinance nchi kwaiyo lazima watoe maelekezoInahusiana nini na kiherehere cha kuelekeza uendeshaji wa nchi?
hakika mama anaupiga mwingiHabarini wanajukwaa,
Siku ya jana, Sativa alikaa kwenye mahojiano na kituo cha habari cha Mwanzo TV Plus.
Katika mahojiano hayo Sativa aliendelea kusisitiza kuwa Faustine Mafwele pamoja na kikosi chake wanaendelea kumtafuta na kwamba Faustine Mafwele anataka afe.
Sativa aliendelea kusema kuwa Faustine Mafwele na genge lake wana-unfinished business naye na kuongeza kuwa iwapo lolote litamkuta basi Mafwele anahusika.
Soma Pia: Kwanini Polisi haijibu tuhuma alizotoa Sativa juu ya Faustine Mafwele kuhusika kwenye utekaji wake?
Serikali haiwezi kumuwajibisha huyo jamaa na wengineo kwasababu ni mtu muhimu na bado serikali inamuhitaji, Sio huyo tu bali wapo wengi ambao ni assets muhimu kwa serikali.Natamani kujua huyu mafwele ni nani na ana impact gani hapa nchini,kwa sababu huyu kijana ameokotwa amejeruhiwa vibaya kiasi samaia akatoa hela za matibabu na mara zote anatamka aliyemtendea hayo ni huyu mafwele.
Kuna ugumu gani kama kuna uchunguzi unaendelea wakaanza na huyu mtu?serikali inasubiri aumize wengine iseme itamtibu tena?ana uchawi wa nchi gani huyu maana hata kama ameloga basi huo uchawi siyo wa sayari hii.
Wanafinance nani wakati wanachopora ni kingi kuliko misaada yao!!?Kusababu wao ndo wanafinance nchi kwaiyo lazima watoe maelekezo
polisi wa kenya auAende polisi kutoa taarifa
hao watekaji siyo wajinga wanajua mda wao au labda useme huwa unawapangia mdaIngekua kweli wanamtafuta wangeshampata hana ulinzi huo wa kuwindwa kila siku na asipatikane, kama hadi muda wa kufanya interview anao basi hakuna anaemtafuta
wewe huna akili, unadhani wao wanaenda hovyo kama wanaenda kuua kuku? lazima kuwe na mazingira wezeshiIngekua kweli wanamtafuta wangeshampata hana ulinzi huo wa kuwindwa kila siku na asipatikane, kama hadi muda wa kufanya interview anao basi hakuna anaemtafuta
Hawa UWT ni wahusika wakuu wa utekaji nchinihao watekaji siyo wajinga wanajua mda wao au labda useme huwa unawapangia mda
Unaogopa kutekwaVyombo vyetu vy habari vimeshindwa kumfikia Mafwele Kumhoji?
Wanachopora serikali ikiwa wapi basi Wanahaki ya kutoa maelekezo Kwa viongozi wa serikali kama wanaweza kuporwa wakiwa macho basi na kuongoza hawajui acha wapewe maelekezo.Wanafinance nani wakati wanachopora ni kingi kuliko misaada yao!!?
We huo utaalamu umeujulia wapi au kwenye movie za kihindi?wewe huna akili, unadhani wao wanaenda hovyo kama wanaenda kuua kuku? lazima kuwe na mazingira wezeshi
Unajua maana ya kupora?Wanachopora serikali ikiwa wapi basi Wanahaki ya kutoa maelekezo Kwa viongozi wa serikali kama wanaweza kuporwa wakiwa macho basi na kuongozwa hawajui acha wapewe maelekezo.
Mtoto wa bibi kizimkazi mnafiki wewe, uko kila sehemu ukishangilia wanayofanyiwa wapinzani halafu uko hapa unamuonea huruma Sativa.Tumsaidie ndugu yetu Sativa jamani.....
Sativa ana matatizo ya kisaikolojia hwenda kabla ya madhila kumkuta na yamezidi baada ya madhila yale (post traumatic stress disorder).
Awe na amani ameshasikika na kila mtu kwani huyo Mafwele ndiye mwisho wa WAAMUZI WA NCHI HII ?!! 😲😲
Sativa anamkuza sana huyo mtu....
#Nchi Kwanza😍
--------------------------------------Nature itamuondoa kama ilivyomuondoa Jiwe.
TeteteteteWe huo utaalamu umeujulia wapi au kwenye movie za kihindi?
Bugus
Wewe unajua?Unajua maana ya kupora?