inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Quran imeagiza kuhukumu kwa haki,mfano wako huu ni mfu,ungetumia labda wa wakatoliki,mtoto kalawitiwa na padre kwenda kigangoni kushtakiUna Kesi na Imamu unampelekea Ostadh aamue unategemea nini?