IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Kwa style hii hii watu huwa wana convert na kuwa magaidi. Huku Sweden kuna jamaa alitekwa last year seems kulikuwa na mkono wa serikali, walipomuachia jamaa almost one month after jamaa hawajui alipo lakini amefungua website ambayo anachafua sana serikali na kuibua their dirty works.