Mpya kutoka kwa Sativa: Mafwele ameendelea kunitafuta, anataka nife, amedai bado hajamalizana na mimi

Mpya kutoka kwa Sativa: Mafwele ameendelea kunitafuta, anataka nife, amedai bado hajamalizana na mimi

Ni

Ni Bora umesema umesikia. Operation ya Mkiru ilikuwa ni military. Huyo yupo polisi. Halafu planners wa operation za ndani ni ngumu kuongozwa na mtu mmoja maana zinahusisha vyombo vingi vya ndani. Pia, operation za kivita haendi polisi kuongoza. Uwanja wa vita unavyeo vyake vya kijeshi na si kipolisi.
Haujui kama polisi nalo ni jeshi mkuu
 
Kifo kikimkosa mtu maramoja ni ngumu sana kumpata mara ya pili.. Lakini wauaji wakidhamiria unaondoka maana taswira na pumzi yako huwaacha na kihoro kikubwa hasa kama umewajua
 
Habarini wanajukwaa,

Siku ya jana, Sativa alikaa kwenye mahojiano na kituo cha habari cha Mwanzo TV Plus.

Katika mahojiano hayo Sativa aliendelea kusisitiza kuwa Faustine Mafwele pamoja na kikosi chake wanaendelea kumtafuta na kwamba Faustine Mafwele anataka afe.

Sativa aliendelea kusema kuwa Faustine Mafwele na genge lake wana-unfinished business naye na kuongeza kuwa iwapo lolote litamkuta basi Mafwele anahusika.

Soma Pia: Kwanini Polisi haijibu tuhuma alizotoa Sativa juu ya Faustine Mafwele kuhusika kwenye utekaji wake?

Aiseeee
 
Habarini wanajukwaa,

Siku ya jana, Sativa alikaa kwenye mahojiano na kituo cha habari cha Mwanzo TV Plus.

Katika mahojiano hayo Sativa aliendelea kusisitiza kuwa Faustine Mafwele pamoja na kikosi chake wanaendelea kumtafuta na kwamba Faustine Mafwele anataka afe.

Sativa aliendelea kusema kuwa Faustine Mafwele na genge lake wana-unfinished business naye na kuongeza kuwa iwapo lolote litamkuta basi Mafwele anahusika.

Soma Pia: Kwanini Polisi haijibu tuhuma alizotoa Sativa juu ya Faustine Mafwele kuhusika kwenye utekaji wake?

Huyu naye mshamba tu,Kama anavielelezo ende ubalozi wa
Habarini wanajukwaa,

Siku ya jana, Sativa alikaa kwenye mahojiano na kituo cha habari cha Mwanzo TV Plus.

Katika mahojiano hayo Sativa aliendelea kusisitiza kuwa Faustine Mafwele pamoja na kikosi chake wanaendelea kumtafuta na kwamba Faustine Mafwele anataka afe.

Sativa aliendelea kusema kuwa Faustine Mafwele na genge lake wana-unfinished business naye na kuongeza kuwa iwapo lolote litamkuta basi Mafwele anahusika.

Soma Pia: Kwanini Polisi haijibu tuhuma alizotoa Sativa juu ya Faustine Mafwele kuhusika kwenye utekaji wake?

Huyu naye mshamba tu,aende ubalozi wa Marekani au wa inchi za umoja za Ulaya akaombe hifadhi kikubwa awe na ushahidi na vielelezo na msg anazotishiwa
 
Hivi Mbowe na team huwa mnafanya nini? Hamuwezi hata kuajiri investigative journalists wabobezi wawaandikie report /documentary ya kuhusu Habari hizi na nyingi nyinginezo; kama ya Lisu, Kibao, ya huyu Sativa, Mbeya nk. Kila kitu mnacho kuwaa-indict hawa washenzi CCM na system yao. Tumieni fursa hizi hawa washenzi waondoke.
Zikishaandikwa zipelekwe wapi? Unatambua madhara ya kuwa na wananchi wasiyojitambua? Mwananchi ambae kiongozi aliyemchangua anamtukana ila yeye anapiga makofi na kushangilia.
Acheni kuwabebesha mzigo mzito akina Mbowe; hao watekaje wanafaamika kwani hawafanyi kazi wenyewe.. Wana marafiki, watoto na wazazi pia wanatambua kabisa kazi ya ndugu yao.
Serikali kama haitaki kuwalinda wananchi wake basi wananchi mmojammoja ajilinde.
 
Katika familiya za ajabu basi ni hii familiya ya SATIVA, yaani ndugu yao anatishwa na watekaji wao wapo kimya ,mkuu wa hiyo familiya Toka hadharani onesha kutokukubaliana na anayofanyiwa mwana familiya yako.kisha ahadi kulipiza kisasi kwa lolote bayo litako mpata mwanafamiliya.
 
Kwahiyo baada ya hiyo interview aliyeyuka hapo hapo kama barafu kwamba wakashindwa kuweka mtego wa kumkamata?
Hakuna anaemtafuta wala nini anajitisha mwenyewe
Kwa hiyo ni lazima wamkamate tu baada ya interview? Si wanaweza wakamuacha tu baada ya siku mbili ndiyo wakamchukua?

Kwamba wanashindwa kwenda kumtekea hata nyumbani kwake hadi walazimike kumteka tu kwenye intavyuu?

Halafu wewe una uhakika gani kwamba hawamtafuti?

Wewe ndio Mafele au?
 
Back
Top Bottom