Mr Beast ajenga visima 100 vya maji barani Afrika

Mr Beast ajenga visima 100 vya maji barani Afrika

Ma-nchi ya africa yamejaa wezi na wala rushwa kwenye serekali, huko kote Mr beast alipojenga utakuta nchi ilipitisha bajeti kwa ajili ya hayo ila kutokana na watu kujali matumbo yao ndo wazungu wanaibukq kujichukuliq point.
Mr Beast apewe sifa zake ila mapumbavu ya africa yaliyo-madarakani yalaaniwe.
 
Hivi mnapoandikaga hizi story zinazotaja watu majina huwa mnashindwa kuweka hata picha ya muhusika ni why?.
 
Hivi mnapoandikaga hizi story zinazotaja watu majina huwa mnashindwa kuweka hata picha ya muhusika ni why?.

Kwasababu tayari mwandishi ameshakuelekeza wapi unaweza kuona simulizi kamili. Usiwe mvivu kufanya utafiti kaka.
 
hilo jina linabeba maana kubwa sana rohoni. 666. ajapo yule mnyama atakuja kwa staili ya hila. so beware!


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Kwasababu tayari mwandishi ameshakuelekeza wapi unaweza kuona simulizi kamili. Usiwe mvivu kufanya utafiti kaka.
Naona umeongeza uvuvi wa akili yako kupembua yakinifu.

Kama akili yako ni ngumu kuelewa siyo kila reply ukomenti.
 
Back
Top Bottom