Mr Blue ndio Nyani Mzee kwenye tsnia ya muziki bongo

Mr Blue ndio Nyani Mzee kwenye tsnia ya muziki bongo

Totally wrong;
Malegendary bongo fleva wapo wengi sana, kwa hiyo kumuita Blue legend haimaanishi hao wengine sio malegend. Kila mmoja amefanya kazi nzuri kwa wakati wake na ndo maana leo Cr7 ni legend pale Madrid lkn hiyo haimaanishi Raul au R9 au Zidane sio malegend au useme watoto wa siku hizi wanamuona Robben Legend tu kwa sababu hawakuwahi kuwaona akina Bergkamp na Kluvert.
Mtazamo wako bro hauko sawa kabisa, Blue atabaki kuwa legend na hao kina Nature, Sugu, Afande nao pia ni Malegend, kila mmoja ana yake ya kujivunia.
By the way ukiacha story zako za kitaani sijui Profesa kaomba gwanda za jeshi,sijui afande akapewa lift na sugu, nyimbo zao zilizowatoa nilikuwepo na nilizisikia lakini bado naamini Blue ni moja ya malegend bongo fleva
Toka Nikujue Leo umeongea bonge moja la point mshkaji wangu.

Agiza chochote hapo bili juu yangu.
 
Mkuu kinachotokea ni kuwa huyo Young Killer ataweza kubaki pale halipo kwa miaka yote hiyo?!

Maana kuna wasanii kibao waliotoka pamoja na Blue wakati ule ila speed zao zimekata njiani.

Kama unakumbuka mtu kama Bab Lee,Ab skills,Hakeem 5,Joselin na hapa juzi kati Chid Beenz wote wamepotea ila Blue bado yupo.

Mimi nadhani haiusiani na shabiki peke yake na msanii Ana nafasi kubwa zaidi.
Ikiwa Hip Hop itaenda kama inavyotakiwa iwe Young Killer anaweza akamzidi jamaa.

Mc Hammer alikua ndiyo msanii bora kwa kipindi kirefu lakini anguko lake lililetwa na gangster rappers mfano NWA, Ol Dirty Bastard, Naughty by Nature n.k. na kwa sasa naona gangster rap inashika kasi huku Bill Nas akiwa ameishikia bango.

Blue gangster rap hawezi sikiliza mistari yake kwenye ngoma ya Kesho, mule ndani aliyeonesha ana mwanga na aina hii ya rap alikua ni Young Dee pekee.

Young Killer kwenye baadhi ya ngoma ameonesha ana idea na hiyo style nina hakika akikazana na kujua upepo wa soko atatoboa zaidi ya Blue.
 
Ikiwa Hip Hop itaenda kama inavyotakiwa iwe Young Killer anaweza akamzidi jamaa.

Mc Hammer alikua ndiyo msanii bora kwa kipindi kirefu lakini anguko lake lililetwa na gangster rappers mfano NWA, Ol Dirty Bastard, Naughty by Nature n.k. na kwa sasa naona gangster rap inashika kasi huku Bill Nas akiwa ameishikia bango.

Blue gangster rap hawezi sikiliza mistari yake kwenye ngoma ya Kesho, mule ndani aliyeonesha ana mwanga na aina hii ya rap alikua ni Young Dee pekee.

Young Killer kwenye baadhi ya ngoma ameonesha ana idea na hiyo style nina hakika akikazana na kujua upepo wa soko atatoboa zaidi ya Blue.
Mkuu Bill Nas anafanya Gangsta Rap?!

Hapo kwa Young Killer nakuelewa ila ninachosema akiweza kuwa kwenye kiwango iki kwa muda mrefu zaidi.

Maana kinachoonekana sasa Young Killer hayupo kwenye ubora ule aliokuwa nao Miaka miwili mitatu iliyopita.

Ametoa ngoma 3 mfululizo na zote hazijafikia ubora wa Dear Game,13 au Jana na leo.
 
Back
Top Bottom