mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,186
Toka Nikujue Leo umeongea bonge moja la point mshkaji wangu.Totally wrong;
Malegendary bongo fleva wapo wengi sana, kwa hiyo kumuita Blue legend haimaanishi hao wengine sio malegend. Kila mmoja amefanya kazi nzuri kwa wakati wake na ndo maana leo Cr7 ni legend pale Madrid lkn hiyo haimaanishi Raul au R9 au Zidane sio malegend au useme watoto wa siku hizi wanamuona Robben Legend tu kwa sababu hawakuwahi kuwaona akina Bergkamp na Kluvert.
Mtazamo wako bro hauko sawa kabisa, Blue atabaki kuwa legend na hao kina Nature, Sugu, Afande nao pia ni Malegend, kila mmoja ana yake ya kujivunia.
By the way ukiacha story zako za kitaani sijui Profesa kaomba gwanda za jeshi,sijui afande akapewa lift na sugu, nyimbo zao zilizowatoa nilikuwepo na nilizisikia lakini bado naamini Blue ni moja ya malegend bongo fleva
Agiza chochote hapo bili juu yangu.