Magazine Fire
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,365
- 1,473
Sheria ya Uhujumu uchumi kwa sasa inaruhusu kuzungumza. Jamaa hafungwi huyo ndio uzuri wake. Mnakubaliana kugawana na Serikali mambo yanaisha.wewe huwez shindana na jamhuri uyo ndo ntotelee hiyo ana makosa 7 yote yame kwiva hachomokiiiii uyu
Siku hizi yuko twitter, ameajiri wahuni, ukipinga hoja yake wanayotukana,Kwani Ontario alivowapiga pale jangid hela mlienda kuidai serikali?
Wajinga ndio waliwao.
Ukiona unaitwa kwenye fursa ujue wewe ndio fursa
Siku hizi yuko twitter, ameajiri wahuni, ukipinga hoja yake wanayotukana,
Sheria ya Uhujumu uchumi kwa sasa inaruhusu kuzungumza. Jamaa hafungwi huyo ndio uzuri wake. Mnakubaliana kugawana na Serikali mambo yanaisha.
Mkuu umenena. Aliye na macho na aone na aliye na masikio na asikie.Hahaha watanzania wanapenda sana hizi, waweke pesa mahala wao wakalale wakingoja faida.
Hakuna mtu wa kukufanyia kazi ukiwa umelala nyumbani, ona sasa pesa inaenda kutaifishwa na serikali na hamtalipwa, labda mfungue kesi ya madai.
Ukisikia hivyo unaenda kukopa milioni mbili halafu unaenda kulala ukiota utakavyotimiza malengo yako kwa kupata milioni 6. Ghafla unasikia " Habari kutoka Kisutu......""Weka laki sita baada ya miezi 3 unapata faida mara mbili ya mtaji uliowekeza"
Hata Instagram yupo anakamata graduate maboya boyaSiku hizi yuko twitter, ameajiri wahuni, ukipinga hoja yake wanayotukana,
Nguvu ya dola hiyo hiyo itamshikilia huyu ontario wa kukuWale siasa tu zimeingilia, wanashikiliwa kwa nguvu ya dola wala siyo sheria.
Lakini bado yupo segerea ndio ujiulize huyu boya atatoka liniKaka ruge malila ni baba lao mzeee zaidi b 200
Yule Jamaa Wa Forex Alikoswakoswa
Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara ya haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za Umma zaidi ya Tsh. 17 bilioni.
Machibya ambaye ni mkazi wa Oysterbay amesomewa mashtaka yake leo 10/08/2020 na Wakili wa Serikali muandamizi mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Godfrey Isaya. Akisomewa mashitaka yake, mshtakiwa anakabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi na 60/2020, kati ya mashitaka hayo 7 yapo ya kusimamia na kuendesha biashara haramu ya upatu, kupokea maingizo ya fedha za umma bila ya kuwa na leseni na kutakatisha fedha.
Mfahamu zaidi Mr. Kuku:
Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?
Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku
Haa😀😁😂🙄🙄😅😄Nguvu ya dola hiyo hiyo itamshikilia huyu ontario wa kuku
Miamala Ya Watu Sasa Hivi Itakuwa VpNimebishiwa sana na wadau kuwa hii business model ni illegal. Here we are.
Hakuna maslahi ya kisiasa hapo.Nguvu ya dola hiyo hiyo itamshikilia huyu ontario wa kuku
Kiurasmi, mahakama itaamua. Ila mara nyingi kwenye utapeli, hela huwa hairudi yote. Unless kuwe na class lawsuit ya wote waliokwazwa yenye evidences kamili. Ambapo bado itakuwa ngumu kama hana uwezo wa kurudisha.Miamala Ya Watu Sasa Hivi Itakuwa Vp
Serikali imejimilikisha uwezo wote wa kufanya dhambi "kihalali"!
-Kubeba silaha na kuua
-Haki ya kuvamia nchi yeyote na kuua raia wake
-Haki ya kufanya fujo
-Haki ya kudhulumu pesa za wananchi na kuwapa wengine
-Haki ya kusema uongo kwa "maslahi" ya taifa
-Haki ya kuchukua private property na kufanyia watakacho
-Haki ya kumiliki jeshi na silaha..mwananchi huruhusiwi
-Haki ya kuwapangia wanadamu wa hiyo nchi kipi cha kufanya na kipi sio cha kufanya kiwe kwenye sheria au kisiwepo
Tanzania MTAJI ni wajinga
Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara ya haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za Umma zaidi ya Tsh. 17 bilioni.
Machibya ambaye ni mkazi wa Oysterbay amesomewa mashtaka yake leo 10/08/2020 na Wakili wa Serikali muandamizi mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Godfrey Isaya. Akisomewa mashitaka yake, mshtakiwa anakabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi na 60/2020, kati ya mashitaka hayo 7 yapo ya kusimamia na kuendesha biashara haramu ya upatu, kupokea maingizo ya fedha za umma bila ya kuwa na leseni na kutakatisha fedha.
Mfahamu zaidi Mr. Kuku:
Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?
Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku
Dhuluma haimuachi mtu salama, katika hizo 17bil na sent zetu zimo, jamaa alitukimbia baada ya kuona tumeanza kumtilia shaka.
Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara ya haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za Umma zaidi ya Tsh. 17 bilioni.
Machibya ambaye ni mkazi wa Oysterbay amesomewa mashtaka yake leo 10/08/2020 na Wakili wa Serikali muandamizi mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Godfrey Isaya. Akisomewa mashitaka yake, mshtakiwa anakabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi na 60/2020, kati ya mashitaka hayo 7 yapo ya kusimamia na kuendesha biashara haramu ya upatu, kupokea maingizo ya fedha za umma bila ya kuwa na leseni na kutakatisha fedha.
Mfahamu zaidi Mr. Kuku:
Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?
Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku