Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

wewe huwez shindana na jamhuri uyo ndo ntotelee hiyo ana makosa 7 yote yame kwiva hachomokiiiii uyu
Sheria ya Uhujumu uchumi kwa sasa inaruhusu kuzungumza. Jamaa hafungwi huyo ndio uzuri wake. Mnakubaliana kugawana na Serikali mambo yanaisha.
 
Hivi walioandika barua na kukiri wakalipa na pesa WAMETOKA JELA TAYARI????
Sheria ya Uhujumu uchumi kwa sasa inaruhusu kuzungumza. Jamaa hafungwi huyo ndio uzuri wake. Mnakubaliana kugawana na Serikali mambo yanaisha.
 
Hahaha watanzania wanapenda sana hizi, waweke pesa mahala wao wakalale wakingoja faida.

Hakuna mtu wa kukufanyia kazi ukiwa umelala nyumbani, ona sasa pesa inaenda kutaifishwa na serikali na hamtalipwa, labda mfungue kesi ya madai.
Mkuu umenena. Aliye na macho na aone na aliye na masikio na asikie.
 



Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara ya haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za Umma zaidi ya Tsh. 17 bilioni.

Machibya ambaye ni mkazi wa Oysterbay amesomewa mashtaka yake leo 10/08/2020 na Wakili wa Serikali muandamizi mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Godfrey Isaya. Akisomewa mashitaka yake, mshtakiwa anakabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi na 60/2020, kati ya mashitaka hayo 7 yapo ya kusimamia na kuendesha biashara haramu ya upatu, kupokea maingizo ya fedha za umma bila ya kuwa na leseni na kutakatisha fedha.

Mfahamu zaidi Mr. Kuku:
Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?
Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Yule Jamaa Wa Forex Alikoswakoswa
 
Nguvu ya dola hiyo hiyo itamshikilia huyu ontario wa kuku
Haa😀😁😂🙄🙄😅😄
Forex Alikoswakoswa Sasa Huyu Mfuga Manyoya Kaingia
Halafu Alikuwa Anajibu Kwa Wepesi Hata Hapa Jamiiforums.com Alijiunga
 
Miamala Ya Watu Sasa Hivi Itakuwa Vp
Kiurasmi, mahakama itaamua. Ila mara nyingi kwenye utapeli, hela huwa hairudi yote. Unless kuwe na class lawsuit ya wote waliokwazwa yenye evidences kamili. Ambapo bado itakuwa ngumu kama hana uwezo wa kurudisha.
 
Mda mwingine hadi unashang'aa elimu yetu ilivyo close minded. Yaani mtu kawaza business model yake kwa nini namtaka wasimwekee watu wao kwenye usimamizi hili wafanye monitoring na consultations inapodi? Nawaza tu angekua mzungu tungekua tunasoma hadi vitabu vyake. Wengine eti wanalalamika kukaa ushuani sasa ukiwa na hela tena ukae mtaani tena?
 
Serikali imejimilikisha uwezo wote wa kufanya dhambi "kihalali"!

-Kubeba silaha na kuua
-Haki ya kuvamia nchi yeyote na kuua raia wake
-Haki ya kufanya fujo
-Haki ya kudhulumu pesa za wananchi na kuwapa wengine
-Haki ya kusema uongo kwa "maslahi" ya taifa
-Haki ya kuchukua private property na kufanyia watakacho
-Haki ya kumiliki jeshi na silaha..mwananchi huruhusiwi
-Haki ya kuwapangia wanadamu wa hiyo nchi kipi cha kufanya na kipi sio cha kufanya kiwe kwenye sheria au kisiwepo

Dhambi ni kwako wewe unayeamini dini,serikali haina dini
 



Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara ya haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za Umma zaidi ya Tsh. 17 bilioni.

Machibya ambaye ni mkazi wa Oysterbay amesomewa mashtaka yake leo 10/08/2020 na Wakili wa Serikali muandamizi mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Godfrey Isaya. Akisomewa mashitaka yake, mshtakiwa anakabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi na 60/2020, kati ya mashitaka hayo 7 yapo ya kusimamia na kuendesha biashara haramu ya upatu, kupokea maingizo ya fedha za umma bila ya kuwa na leseni na kutakatisha fedha.

Mfahamu zaidi Mr. Kuku:
Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?
Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku
Tanzania MTAJI ni wajinga
 



Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara ya haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za Umma zaidi ya Tsh. 17 bilioni.

Machibya ambaye ni mkazi wa Oysterbay amesomewa mashtaka yake leo 10/08/2020 na Wakili wa Serikali muandamizi mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Godfrey Isaya. Akisomewa mashitaka yake, mshtakiwa anakabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi na 60/2020, kati ya mashitaka hayo 7 yapo ya kusimamia na kuendesha biashara haramu ya upatu, kupokea maingizo ya fedha za umma bila ya kuwa na leseni na kutakatisha fedha.

Mfahamu zaidi Mr. Kuku:
Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?
Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Dhuluma haimuachi mtu salama, katika hizo 17bil na sent zetu zimo, jamaa alitukimbia baada ya kuona tumeanza kumtilia shaka.
 
Back
Top Bottom