Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Ili kuuita ni utapeli, njoo na takwimu halisi.

1. Watanzania wangapi wameweka pesa zao kufuga kuku na baada ya kufikisha miezi sita hawakulipwa?

2. Wangapi wamelalamika kudhurumiwa?
Utapeli sio mpakaa utokeee na watu walie ndo ujuee huu ni utapelii...!! Hata Ontario hadi leo huwezi jua ni Watanzania wangapi aliwatapeli so huo upuuzi wa kuhitaji statistics unaweza mtafuta mtuhumiwa
 
[emoji3516]
ALL IN ALL,
NDUGU_JOTI ANASEMAJE KATIKA HILI?
 
Unatakiwa kufahamu kuwa kipindi cha DESI kuna wana jf wengi na wengine walikuwa hawajazaliwa, hawaelewi hayo mambo
 
Huyo nae mshamba tu si angejisepea kwenda duniani huko sasa imekula kwake.
 
Jama hakukamatwa from no where ndugu yangu lazima kuwa mashahidi ambao ni walalamikaji kuwa malipo yao hawajapewa na hizo kelele ndo zimepelekea huko.
 
Mnaosema kakusanya 17 bilion na kwanini amebaki bongo inabidi mjue hizi hela hajazipata kwa mkupuo mmoja yaan amehesabiwa hela alizokuwa anakusanya kidogo kidogo tokea 2017 huko mpaka leo


Ooh kumbe.
 
Sasa viwanja hamkupewa au mliambiwa mlipe kwanza then mkaonyeshwe viwanja.....
 
Reactions: amu
Jamaa nilishangaa anauza 2018 Jaguar F-Pace kwa 250M! Nikajiuliza kulikoni. Kumbe mambo yalishaiva
Hapo no alichemsha,kumbe pesa alikuwa ananunulia mpaka Jaguar. Ila angekuwa anafuata aliyoyasema. Jamaa angekuwa millionea. Sema watu aliowadhulumu ndo walianza peleka malalamiko serikalini.
 
Kijana amebuni njia yake yakujipatia cake ya Taifa, jamaa wa Taifa wameona amezikusanya wameamua kufanya yao.Kwanini wasingemzingua kabla hazijafika kiasi hicho?
Huyu mtu anawekeza, haibi cha mtu. Ukifika shambani kwake unaona kabisa mabanda na kuku zaidi ya laki mbili. Ana masoko ya uhakika, anakusudia kujenga kiwanda cha kusindika nyama, kiwanda cha kutengeneza vyakula vya mifugo, zote hizo ni ajira kwa watanzania.

Pesa yote haiendi nje inabaki humuhumu. Sasa nyie mnaosema ni tapel, mmeifanyia nini nchi hii? Wazo gani la kuinua jamii mmeanzisha na likakubaliwa? Kumlinga mr Kuku na Ontario siyo sawa. Hata Ontario, unapoteza pesa kwa kukiuka misingi na tamaa
 
Jama hakukamatwa from no where ndugu yangu lazima kuwa mashahidi ambao ni walalamikaji kuwa malipo yao hawajapewa na hizo kelele ndo zimepelekea huko.
Kama wapo sawa lkn nachojua tumejaa wivu. Kwa nini badala kupelekwa court asipewe muda kuwalipa?
 
Daah sasa kuku wake now nani atawasimamia atakuta wahuni wameuza wamegawana chao...!! Sema jamaa atafute mwanasheria hata Peter Kibatala atachomoaa
 
Kama kuna malalamiko mi nawaunga mkono kua ni tapeli . Lakini kama hamna malalamiko na analipa kodi ilibidi serikali wamuunge mkono . Ikiwekana wamsaidie kwenye ushauri na usimamizi . Wenzetu huko duniani wanaheshimu mawazo ya watu na kuwasaidia kuboresha. Angekua mtu wa nje tungemuona genius . Lakini tunapiga kila bila fact
 
Halafu ndo nimeanza kuelewa, nimeiona kwa Bon Jacob video lkn hata sikumtambua ni nani. Ndio maana tutaendelea kuwa maskini.

Wamgemsaidia kutatua chamgamoto hizo ndogo ili aendeleze mradi wake huo ambao unakomboa wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…