Hii niia nchi nyingi wanatumia Kutrace terrorist...!!Ukiangalia vizuri, kwenye karatasi za benki za kuweka pesa kuna sehemu inauliza dhumuni. Kitu lingine ukitaka kutoa pesa ndefu lazima uwape taarifa ili waitaarifu benki kuu na hapo ndio kizazaa huanzia
Sasa hivi rumy karudi kwa kimada wake m' nyamala na vikaptula vyake vyekundu[emoji28]Kabisa hata mimi nilikataa masanja hela hazipati kwenye kilimo zile,mie nawajua watu wana ekari hadi 500 lakini bado tia maji tia maji,yeye kapata wapi fedha za kununua x6? Kuna kitu jamaa anafanya tu numa ya pazia haya mambo ya kuuza mchele ni geresha tu!! Hii ni kama Rummy alivyokuwa anazuga na biashara ya pharmacy kumbe alikuwa anauza poda.
Aliweka mil 10 akitegemea mil 20[emoji1787][emoji1787] Mwambie pesa serikali ishazibebaaaAiseeee, ngoja niscreenshot nimtumie bro itakua hajaiona hii.
DadrekiNdio alikuwa anaanza kufanya miamala wakamdaka. Alienda benki kutoa 6B
Au kwa majambaziIla watu wa benki nao ni wanafiki tu,wakati unaingiza hela kwenye benki yao hawaulizi wanakuacha tu halafu siku ya kutoa wanakurengesha kwa polisi.
octario yupo chimbo anaandaa project yake matata....time will tellTuliwaambia kudadeki zenu
Mr kuku ni Ontario aliechangamka
Saccos mkuu, ya ofisini kwetu ( serikalini)Wapi hukoo ulitaka kujitoa???1
Hahaha jamaa anapenda kuvaa vipensi kwasabu ya bonge la guu lile.Sasa hivi rumy karudi kwa kimada wake m' nyamala na vikaptula vyake vyekundu[emoji28]
Lazima anadanga, mweupe na bado anajichubuaHahaha jamaa anapenda kuvaa vipensi kwasabu ya bonge la guu lile.
Kumbe alishaanza kuzitumbua kiasi hicho?
Kweli jamaa white kinoma kama anajichubua basi balaa ,yes ana kigari visaloon vidogo vidogo ,nilimkuta biafra kapaki pembeni anapakia mabegi nyuma ya buti sasa sijui alipokuwa anakaa alifukuzwa.Lazima anadanga, mweupe na bado anajichubua
Hivi serikali ilichukua kila kitu? Hivi hata gari analo kweli?
Mbona unataka kufanya kila mtu ana akili ndogo? Unabishana kitu ambacho huna hata clue!Kama wapo sawa lkn nachojua tumejaa wivu. Kwa nini badala kupelekwa court asipewe muda kuwalipa?
Dah what a shame!kuna manzi moja hapa kwa ofisi yeye pamoja na msuuzo wake waliwekeza 10 milion ...kwa mwaka mmoja wavune 40 milion....sasa hivi kila nikimcheki namwona kama bandama linataka kumng'oka....
Naona Ontario siku izi ameamua kutumia views Youtube kujipatia kipato. Hataki tena kuitwa tapeliTuliwaambia kudadeki zenu
Mr kuku ni Ontario aliechangamka
?????????????????????????????????????????????????Dah what a shame!
Unaongea utopolo tupu,jf imevamiwa na wajinga kama wewe...hilo swali kamuulize mwenzio mr kukuWewe una reasoning kwenye ubongo wako kweli.
Ukinipa 500,000 mwezi wa kwanza nikulipe baada ya miezi 6 akija mwengine ndani ya muda huo anipe 500,000 nimlipe mwezi wa 12.
Aliye nipa mwezi wa kwanza natakiwa kumlipa 1M nitachukua 500K aliyenipa mwengine 500K ya kujazia ili iwe 1M natoa wapi na je yele wa pili namlioaje.
JF mbona imekuwa ya hovyo hivi.