Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Ukiangalia vizuri, kwenye karatasi za benki za kuweka pesa kuna sehemu inauliza dhumuni. Kitu lingine ukitaka kutoa pesa ndefu lazima uwape taarifa ili waitaarifu benki kuu na hapo ndio kizazaa huanzia
Hii niia nchi nyingi wanatumia Kutrace terrorist...!!
 
Kabisa hata mimi nilikataa masanja hela hazipati kwenye kilimo zile,mie nawajua watu wana ekari hadi 500 lakini bado tia maji tia maji,yeye kapata wapi fedha za kununua x6? Kuna kitu jamaa anafanya tu numa ya pazia haya mambo ya kuuza mchele ni geresha tu!! Hii ni kama Rummy alivyokuwa anazuga na biashara ya pharmacy kumbe alikuwa anauza poda.
Sasa hivi rumy karudi kwa kimada wake m' nyamala na vikaptula vyake vyekundu[emoji28]
 
na kila mwenye sauti ataimba parapanda...muda ukifika.....wastaafu nawaona nawaona na pesa zenu za pension..... 😁 😁 😁 😁......ni yeye!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mliopigwa muache kutufokea humu...please !!!!!!!!!!!
 
Lazima anadanga, mweupe na bado anajichubua

Hivi serikali ilichukua kila kitu? Hivi hata gari analo kweli?
Kweli jamaa white kinoma kama anajichubua basi balaa ,yes ana kigari visaloon vidogo vidogo ,nilimkuta biafra kapaki pembeni anapakia mabegi nyuma ya buti sasa sijui alipokuwa anakaa alifukuzwa.
 
Wewe una reasoning kwenye ubongo wako kweli.

Ukinipa 500,000 mwezi wa kwanza nikulipe baada ya miezi 6 akija mwengine ndani ya muda huo anipe 500,000 nimlipe mwezi wa 12.

Aliye nipa mwezi wa kwanza natakiwa kumlipa 1M nitachukua 500K aliyenipa mwengine 500K ya kujazia ili iwe 1M natoa wapi na je yele wa pili namlioaje.

JF mbona imekuwa ya hovyo hivi.
Unaongea utopolo tupu,jf imevamiwa na wajinga kama wewe...hilo swali kamuulize mwenzio mr kuku
 
Back
Top Bottom