Mr. Kuku ahukumiwa kulipa fidia TSh. Bilioni 5.4, faini Tsh. Milioni 5 au jela miaka 5

Duuh noma kweli rafiki angu!!! Wangemuacha tu huyu chalii maana hiyo m5 ni kama wemkomoa tu coz wanajua kabisa hana kibunda chote wamelamba dadeki
 
Fine ipo sawa na kiasi kilichopo kwenye accounts zake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzigo unakwenda na anatakiwa alipe nyingine.
Labda mleta mada kakosea kuandika
Hicho kiasi cha 5.4 bilioni kilichopo kwenye acc ya mshtakiwa ambacho kinahamishiwa kwenye akaunti ya DPP ndio faini yenyewe au ndio kutaifisha faini ipo palepale?
 
Saa kashindwa vipi wakati kwenye account yake kulikuwa na bilioni 5?.
Si wangezichukua alafu wamuachie
Hio ni FIDIA faini kashindwa kulipa ndomaana kaenda jela.

Mtu alikuwa na bil5.4 ila kashindwa kulipa mil5

Hahahaaa raha sana saivi yani wanakwangua kila kitu
 
Mr kuku leo hii ameshindwa lipa faini ya 5million?
Hata kama wamepita na hizo za kwenye account,inamaana hakua na upande wa pili ...
Ubaya ni kwamba alikua na makosa ya sh bil 17 so kwa muda wote huu wako wananegotiate ni pamoja na kuuza kila kitu alichonunua kwa hiyo hela. Ndio wamebahatika kupata hiyo bil 5.4

Wakaona sasa inatosha hakuna kitu tena alichoficha basi mnakubaliana wanazikwapua

Suala la Million 5 wanaacha upambane nalo mwenyewe huko na ndugu zako. Dogo kakosa hio hela sahizi karudi kulala na nyapala. Kulala kugeuka kwa filimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…