ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Halafu ile baa haina maajabu yoyote ila basi tuIla ilikuwa kiheshima sana, hata yeye alikuwa ananijibu kiheshima tu, na alielewa namaanisha.
Halafu mimi nilikuwa nahisi ni mhudumu ujue, ila respect sana yule Dada. Nakumbuka first time hapo alikuwa kwenye kitengo cha cocktail au kulikuwa na whisky wanaipromote.