Halafu ile baa haina maajabu yoyote ila basi tuIla ilikuwa kiheshima sana, hata yeye alikuwa ananijibu kiheshima tu, na alielewa namaanisha.
Halafu mimi nilikuwa nahisi ni mhudumu ujue, ila respect sana yule Dada. Nakumbuka first time hapo alikuwa kwenye kitengo cha cocktail au kulikuwa na whisky wanaipromote.
Wamikoani hao,watayajua vipiKaka unapitwa na mengi
Kumbe huwa panahappen. Mm huwa napapitaga tu napoenda zangu darajani kuvuka. Naendaga kumalizia nolaskowakazi wa kigamboni liquid ndo kiwanja chetu
mbun.ye kali nje nje dau lako tu
halafu tukishawaka tunavuka daraja kwa mguu
Baa ya wazee wa bandari iyoHahaha, nilivyomwambia nimekoma alicheka sana, uzuri wenyewe nilikuwa najifanya eti nampa tip na nini anachukua.
Kwa hiyo juzi kafanya kama anarudisha baada ya Mimi kujua ndo Tajiri mwenyewe.
"Liquid itakuwa juu kabisa, itafika mbinguni kabisa mawinguni, liquiiidiiii"
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio yule aliyekuwa mwenye liquid kigambon?Bar ni ya mdogo wake Lilian Gumbo, yeye ni Peter Gumbo!
Hahaahaaha[emoji28][emoji28]Piere likwidi mwaka mpya anakula na king'amuzi
Halafu ile baa haina maajabu yoyote ila basi tu
Tumuite shemeji tu[emoji28]Mimi nilijua ni muhudumu, na kilichonivutia kwake ni ule weusi wake, huwa ndo ugonjwa wangu zile rangi.
Uzuri sijaonesha popote kama nimemchukuliaje, kila kitu kilikuwa kawaida, hadi nikakata tamaa.
Juzi nilivyoenda ndo nikamwambia anisamehe, sikujua kama yeye ndo bosi maana siyo vizuri mbele ya wafanyakazi wake, akasema nisijali.
Yaani hadi nilicheka sana aisee.
[emoji28] chombo ya piere konki
Tumuite shemeji tu[emoji28]View attachment 969535
Huyu nae atapita tu kama alivyopita Dr Shika.
Baa ya wazee wa bandari iyo
Ijumaa hunikosi pale
pako poa sanaKumbe huwa panahappen. Mm huwa napapitaga tu napoenda zangu darajani kuvuka. Naendaga kumalizia nolasko
Ndio sura yangu ipo kama yake.. Full liquid..Mzee Wa "mamaaa aiiiiiii, nakufaaaaa," anachekesha sana sura yake sasa liquid tupuu [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ndio sura yangu ipo kama yake.. Full liquid..
pako poa sana
at least watu wana class flani
nolasco usinambie,watoto wa kibada kibao halafu vibaka ***** zao,mademu wenyewe wa ovyo ovyo tu