Uchaguzi 2020 Mr. Much know na Kachero waamsha wenge upinzani: Vurugu zimeanza tayari

Kama Ni kweli, kwanini cheamani asiingie mzigoni mwenyewe ili apate hao wabunge 20? Mbona 2015 asilimia kubwa aliongea yeye na siyo White hair?
Kuna mista no makila kitu ndio kwasasa amekuwa nahodha. Yan anawavuruga mbaya kwa kigezo kuwa hana chakupoteza.

Aliyenipa mtonyo huu anasema wazee wanahaha kurekebisha mahusiano
 
Mwanzoni nilidhani unaweza kuwa unaaminika. Baada ya kusoma hapa, lol, kumbe imetoka kwa mbogamboga!!
 
Navuta taswira kuangalia mtifuano utakaotokea pale cheamani atapotaka kujilipa kibabe (kama ilivyo kawaida yake) ruzuku kiduchu watakayopata mwakani. Things'll never be the same after 28/10.
Umenikumbusha wale wadada wa kiingereza walioimba "things will never be the same again"
 
So BM alitaka Lissu na team yake wahamie kwake? Basi wakubaliane tu kwamba Uchaguzi huu wa 2020 yeye BM ampe support Lissu alafu ule mwingine wa 2025 Lissu nae ampe support BM just simple ni maelewano wote wapinzan.
 
Acha UZUSHI ZWAZWA wewe!

 
Sina hakika. Huyu Machi No n kuwa yeye anawakrashi wenzake na kujiona anajua vyote na kuwa yeye n maarufu zaidi ya msumbawanga. Sidhani Kama umachi noo wake umepelekea kudhulumu uhai
Ndio yule kiongozi wa malaika mbinguni?
 
Pipoooooz naona mmeanza kuwasimanga wapinzani wenu waliokuja kwa kasi kukalia kiti chenu
 
Eti "Mpeperusha fulagi" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…