Uchaguzi 2020 Mr. Much know na Kachero waamsha wenge upinzani: Vurugu zimeanza tayari

Hi
 
Deal ilijionyesha mwanzo,mapokezi makubwa ya kinafiki na kumteua ghafla bila mshindani,walikuwa wanatafuta kuchomoa pesa zake.Lakini nayeye kawakamata pabaya anaweza AKAKINUKISHA.
Niguse unuke!! Sasa ACT watamjua mbobezi si mtu wa mchezo mchezo.
 
Unadhani Bavicha wataelewa huu ujumbe?

Watafunie watafunane
 
HIYO WATOTO WA MUJINI TUNAITA "KOROGA NILI KOROGE "
 
Wakati mzungu anaangaikia kukuza ufahamu mtu mweusu anaangaikia majungu.mwisho wa siku anaishia kuita wenye ufahamu beberu. Sasa mbuzi jike sijui nani?
 
Huyo atakuwa ni bundi wa kichina, huku kwetu ni yeye tu. Kampeni zinazidi kupamba moto mpaka yule fisadi wa ndege bp imepanda
 
Wamuache aendelee na kampeni zake atavuna alichopanda
 
Ya kweli hayo ? Ila mista cheaman mbona kama kapunguza kiherehere nowdayz ?
Mambo mengi. Kwanza mambo jimboni kwake si rahisi sana, halafu kupoteza fedha nyingi kwenye kitu ambacho huna hakika utakipata si jambo la busara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…