Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Wachawi tupo apa tunaangilia tu maisha ya mwafulani apa, naona anajishebedua we ngoja tu yamkute tutakavyo mchamba na vigodoro juu
binamu mtataaaa...!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachawi tupo apa tunaangilia tu maisha ya mwafulani apa, naona anajishebedua we ngoja tu yamkute tutakavyo mchamba na vigodoro juu
Wachawi tupo apa tunaangilia tu maisha ya mwafulani apa, naona anajishebedua we ngoja tu yamkute tutakavyo mchamba na vigodoro juu
Muache huyo atembee na mbwa ufukweni
Kuna mwngine nae atakuja dai hivyo hivyo ngoja aendelee tu kuleta magari ya zamani na kudanganya kanunua kwa bethidei
ngoja nimtafakari huyo unaemsema.. kama namjua vile
ni yule kwanza kutembea na mbwa fukwe za majuu, hadi Nelly anamshobea na kumwomba namba ya simu.
Mi ananifuraisha eti akikumbuka analia dah, kweli mr nice kapinda
Kuna some nilikuwa mahali binamu nikasikia wanamuongelea alivo kuwa ana hela bana akamsahau mganga wake akamdharau mganga si ndo akamfanyia eti yake ndo akaanza kuporomoka sasa sijui kama ni kweli au la
Daah ndio basi tena, anawish kama arudishe muda nyuma
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
AHahaha haha jaman watu wachawi humu, muacheni mwenzenu bhana anajipanga na TAKEU style part 2, mi ananichekesha tu eti akikumbuka analia dah
Kuna mwngine nae atakuja dai hivyo hivyo ngoja aendelee tu kuleta magari ya zamani na kudanganya kanunua kwa bethidei
Kuna siku nilikuwa mahali binamu nikasikia wanamuongelea alivo kuwa ana hela bana akamsahau mganga wake akamdharau mganga si ndo akamfanyia eti yake ndo akaanza kuporomoka sasa sijui kama ni kweli au la
Imebaki hadithi tu sasa;
Ajipange tu upya, kama bahati ipo itakuwepo tu.
tunasubiri zile ninge....ningeli...ningali...!