Mr Nice afunguka kuhusu utajiri wake

Mr Nice afunguka kuhusu utajiri wake

Alikosea masharti pesa zikarudi zilipotoka, mkuu pesa bilioni 2 na kitu haziwezi potea hivhiv
Ila kweli. Haiwezekani ule bata la 2b. Tena 2003 huko alikuwa anakunywa pombe gani
Au labda jamaa pesa haikufika hata 500m maana hata kwa leo tu 2b huwezi imaliza
 
Ila kweli. Haiwezekani ule bata la 2b. Tena 2003 huko alikuwa anakunywa pombe gani
Au labda jamaa pesa haikufika hata 500m maana hata kwa leo tu 2b huwezi imaliza

Waswahili walisema, mali bila daftari, hupotea bila habari.

Hawa wengine wanakula bata na wapambe wengi, si mtu mmoja, hapo ndipo tatizo lilipo.

1.5 -2 bn kwa maisha ya ki star ni pesa ndogo tu.

Haijafika hata $1 million.

Nyumba kali tu usawa huu unaweza kukuta ni sh 700 million mpaka bilioni moja. Hapo hujataka anasa zote.

Ni vile tu standards zetu ndogo, labda na purchasing power parity inatubeba.
 
Ndiyo maisha yalivyo kilichobaki ni ziadi (R.I.P mtoa mada warumi, roho zote za marehemu zipate pumziko la milele).
 
Huyu mpaka leo namdai 20,000/
Nlimkopeshaga kabla haja heat alipo heat jiiiiii
Sema nafasi alipata sema aluchezea

Ova

Amewapa funzo vijana waliopo kwenye Game kuwekeza na kuacha asana....Nakumbuka alikuwa anahojiwa na salama Jabir long time 2004 au 2005 alikuwa ameweka meno ya Dhahabu.
 
Amewapa funzo vijana waliopo kwenye Game kuwekeza na kuacha asana....Nakumbuka alikuwa anahojiwa na salama Jabir long time 2004 au 2005 alikuwa ameweka meno ya Dhahabu.
Kuna kipindi ana heat nkakutana entered airport anapokelewa amebebwa juu juu kama mfalme
Nikajipekecha kumaogelea yenyewe ikawa mbinde mpaka namfikia, nkamkumbushia deni langu langu la 20k akawa anacheka tu,anasema baharia tukionana dar ntakucheki
Baadaye huko ndiko akashuka
Akienda bar anakunywa anakimbia bill
Sana sana sehemu nyingi nlizokuwa namkuta alikuwa anataka kupigwa na mabaunsa w
Tunahishia kumuamulia
Ila kama nafasi aliipata bana maana soko la afrika mashariki na kati alilikamata

Ova
 
Kuna kipindi ana heat nkakutana entered airport anapokelewa amebebwa juu juu kama mfalme
Nikajipekecha kumaogelea yenyewe ikawa mbinde mpaka namfikia, nkamkumbushia deni langu langu la 20k akawa anacheka tu,anasema baharia tukionana dar ntakucheki
Baadaye huko ndiko akashuka
Akienda bar anakunywa anakimbia bill
Sana sana sehemu nyingi nlizokuwa namkuta alikuwa anataka kupigwa na mabaunsa w
Tunahishia kumuamulia
Ila kama nafasi aliipata bana maana soko la afrika mashariki na kati alilikamata

Ova

AIseee jamaa likpata pesa akazitumia vibaya ,hawezi kurudi tena kuwa na pesa kama za mwanzo.
 
Back
Top Bottom