Mr Nice afunguka kuhusu utajiri wake

Mr Nice afunguka kuhusu utajiri wake

Alijiimbia jide hataki kuwa HISTORIA, tutakuja kusikia baadae, ooh nilipigaga picha na akina nelly na chris brown, nilikuwa mtanzania wa kwanza kushiriki BET , tutaona binamu , sisi wachawi aka ma haters tupo apa tunaangalia movie inavyoenda.

haki ya Mungu! daaah! wabongo hakunaga kama sisi, kwa hiyo wewe ukilala unamuota platnum, ukitembea unamuona kwa mbele, ukinywa maji unamuona kwenye glass, ukitazama juu unamuona kwenye mawingu, mtu akiita Mr. nice wewe unaskia kaita diamond, warumi ukiskia mapenzi DHATI wewe unatishaaaa unampenda mpaka hujielewi. #oneloveEnezaUpendo .
 
Last edited by a moderator:
mimi nilikuwa ninajua kwenye post za kiba tu ndipo platnum hutajwa kumbe kila post yupo, yani ni kama maji vile, #shikamoo dangote kama wewe hakunaga.
 
najua nidhamu ya ilimponza mr nice akawa anajimwaga na madada na kutumia pesa ovyo na ulevi ila ubunifu alikua nao. nlikua napenda sana miuno yake. nyimbo ya nini nina kuita naipenda sana
 
Uje uwe wanguu uje uwe wanguuuuu. . . . Ilikuwa balaa balaaa
 
alitamba sana huyyu mjamaa namuombea mema kwa Mungu naamini mlango mmoja ukifunga mwingine unafunguka
Kwenye watu ambao walitakiwa wafanye mziki kama hobby na si kazi kwa sasa basi huyu jamaa maana kama ela alitengeneza lkn ndo hivyo.
 
Kwenye watu ambao walitakiwa wafanye mziki kama hobby na si kazi kwa sasa basi huyu jamaa maana kama ela alitengeneza lkn ndo hivyo.
hakika, ila nampenda sababu ni mtu anaejielewa sema basi tuu na anafanya anachokiamini, anampenda sana Mungu, kila sehemu atamtaja pia ana moyo wa kusaidia anasaidia sana watoto na yatima. kuna sehemu nimepitia story na maisha yake hakika nimejifunza vitu vingi kutoka kwake. Mwenyezi Mungu ambariki milango mingine ifunguke.
 
Unakubalijee uwe historia kabla siku yako haijafika[emoji441] iweje Leo uwe historia kabla siku yakoo haijafikaa, [emoji441]
 
Alijiimbia jide hataki kuwa HISTORIA, tutakuja kusikia baadae, ooh nilipigaga picha na akina nelly na chris brown, nilikuwa mtanzania wa kwanza kushiriki BET , tutaona binamu , sisi wachawi aka ma haters tupo apa tunaangalia movie inavyoenda.
Mungu anawaumbua tu
 
Majuto ni mjukuu lakini hujachelewa kaka,
jamaa alikuwa na matumizi mabaya sana pia alikuwa mgomvi mno . nakumbuka siku moja tukiwa pale uwanja wa ndege wa JK Nyerere Mr nice alikuwa amerejea toka comoro akiwa na wacheza show wake alikuwa anakuja bear kwa fujo mno na kucheza hovyo alikuwa kero kwa kila mtu. lkn katika hari ya kushangaza Mr nice alichukua pombe yake ambayo ilikuwa kwenye kopo na kumwagia mzungu aliyekuwa amekaa pasipo hili wala lile.
na kisha akawa anamtolea maneno ya kijeri akisema mimi natembea dunia nzima na pesa ninayo hata huko kwenu wazungu wenzako wananitetemekea.
sawa polisi wetu wakamwita chemba na kuongea naye baada ya muda mfupi akaondoka, sasa hilo ni tukio moja la muda usiozidi dakika thelathini sasa vp kwa masaa 24, nani anajua wale polisi uliwapa bei gani?

pia kuna jamaa alitoka malawi akawa analalamika juu yako anasema kwa jinsi alivyokuwa nakupenda akaona ni bora akupe zawadi ya gari , jamaa anasema alikupa gari ambayo ilikuwa mark 11 old model nawe hukuonesha kuifurahia japo ulipokea , lakini cha kushangaza ukiwa unaimba kwenye onesho lako na huyu jamaa alikuwa mmoja wa wahudhuliaji na mulionana ukamtambua cha kushangaza ukaita pale kijana atakayeweza kuimba moja ya mashairi ya nyimbo zako na uliahidi kutoa zawadi ambayo hukuitaja , kuna kijana akajitahidi kuimba moja ya nyimbo zako na ukampa ufunguo wa ile gari aliyokupa mshaji , jamaa anasema alijisikia vibaya na kuamua kutoka nje na moyo unamuuma mpk leo kwa kitendo hicho.
inawezekana kabisa ukapata mafanikio makubwa kuliko haya ya mwanzo lkn badili tabia kaka
Mkuu maneno yako yana ukweli flani ndani yake.
 
Akili zake mbovu huyo,yeye anahisi Mungu anakuadhibu kwa kuzulumu tu.Dharau ndio zimemfikisha hapo alipo,alikuwa na dharau na kujiona mwenye hela,huyo ndio asahau,hatokuja kufika pale alipofika mwanzo.

Dimond hawezi kuja kufulia kiasi hicho,dimond ana busara na anajua kuwa kuna kesho ndio maana hana dharau za kijinga ila watu tu tu wana jaribu kumnukuu vibaya ili aonekane mbaya.

Kama unasubiri dimond afulie kama alivyo fulia huyu ****** basi utangoja sana,Dimond amefanya investments huyu mshenzi yeye alikuwa anafanya starehe tu.
Mkuu usiseme hvyo, Kuna watu wengi walishika pesa ndefu sana na investment kila mahali. Sasa hvi wanaomba hela ya sigara kitaa
 
Back
Top Bottom