Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Alijiimbia jide hataki kuwa HISTORIA, tutakuja kusikia baadae, ooh nilipigaga picha na akina nelly na chris brown, nilikuwa mtanzania wa kwanza kushiriki BET , tutaona binamu , sisi wachawi aka ma haters tupo apa tunaangalia movie inavyoenda.
hahahahaAtupishe apa watu tunacheza skelewu sasa ivi mambo ya ana ana doo sijui kidari poo akachezee uko porini
alitamba sana huyyu mjamaa namuombea mema kwa Mungu naamini mlango mmoja ukifunga mwingine unafungukaUje uwe wanguu uje uwe wanguuuuu. . . . Ilikuwa balaa balaaa
Kwenye watu ambao walitakiwa wafanye mziki kama hobby na si kazi kwa sasa basi huyu jamaa maana kama ela alitengeneza lkn ndo hivyo.alitamba sana huyyu mjamaa namuombea mema kwa Mungu naamini mlango mmoja ukifunga mwingine unafunguka
Hii gem ukishapita hurudi muulize.... NatureDaah ndo ashakuwa Historia hata kabla ya muda wake. Anajipanga kurudi tena au ndo amemshukuru Mungu kwa yote?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
hakika, ila nampenda sababu ni mtu anaejielewa sema basi tuu na anafanya anachokiamini, anampenda sana Mungu, kila sehemu atamtaja pia ana moyo wa kusaidia anasaidia sana watoto na yatima. kuna sehemu nimepitia story na maisha yake hakika nimejifunza vitu vingi kutoka kwake. Mwenyezi Mungu ambariki milango mingine ifunguke.Kwenye watu ambao walitakiwa wafanye mziki kama hobby na si kazi kwa sasa basi huyu jamaa maana kama ela alitengeneza lkn ndo hivyo.
alifanyaje mkuu kama kutulia kimuziki ni kawaida au kuna jingine?Salamu zimufikie dada yetu Saida karoli
alifanyaje mkuu kama kutulia kimuziki ni kawaida au kuna jingine?
sikuelewi.Alichambua kama muttah
ya Mungu mengi hujui hata kama utaiona keshoAtupishe apa watu tunacheza skelewu sasa ivi mambo ya ana ana doo sijui kidari poo akachezee uko porini
Mungu anawaumbua tuAlijiimbia jide hataki kuwa HISTORIA, tutakuja kusikia baadae, ooh nilipigaga picha na akina nelly na chris brown, nilikuwa mtanzania wa kwanza kushiriki BET , tutaona binamu , sisi wachawi aka ma haters tupo apa tunaangalia movie inavyoenda.
Mkuu maneno yako yana ukweli flani ndani yake.Majuto ni mjukuu lakini hujachelewa kaka,
jamaa alikuwa na matumizi mabaya sana pia alikuwa mgomvi mno . nakumbuka siku moja tukiwa pale uwanja wa ndege wa JK Nyerere Mr nice alikuwa amerejea toka comoro akiwa na wacheza show wake alikuwa anakuja bear kwa fujo mno na kucheza hovyo alikuwa kero kwa kila mtu. lkn katika hari ya kushangaza Mr nice alichukua pombe yake ambayo ilikuwa kwenye kopo na kumwagia mzungu aliyekuwa amekaa pasipo hili wala lile.
na kisha akawa anamtolea maneno ya kijeri akisema mimi natembea dunia nzima na pesa ninayo hata huko kwenu wazungu wenzako wananitetemekea.
sawa polisi wetu wakamwita chemba na kuongea naye baada ya muda mfupi akaondoka, sasa hilo ni tukio moja la muda usiozidi dakika thelathini sasa vp kwa masaa 24, nani anajua wale polisi uliwapa bei gani?
pia kuna jamaa alitoka malawi akawa analalamika juu yako anasema kwa jinsi alivyokuwa nakupenda akaona ni bora akupe zawadi ya gari , jamaa anasema alikupa gari ambayo ilikuwa mark 11 old model nawe hukuonesha kuifurahia japo ulipokea , lakini cha kushangaza ukiwa unaimba kwenye onesho lako na huyu jamaa alikuwa mmoja wa wahudhuliaji na mulionana ukamtambua cha kushangaza ukaita pale kijana atakayeweza kuimba moja ya mashairi ya nyimbo zako na uliahidi kutoa zawadi ambayo hukuitaja , kuna kijana akajitahidi kuimba moja ya nyimbo zako na ukampa ufunguo wa ile gari aliyokupa mshaji , jamaa anasema alijisikia vibaya na kuamua kutoka nje na moyo unamuuma mpk leo kwa kitendo hicho.
inawezekana kabisa ukapata mafanikio makubwa kuliko haya ya mwanzo lkn badili tabia kaka
Mkuu usiseme hvyo, Kuna watu wengi walishika pesa ndefu sana na investment kila mahali. Sasa hvi wanaomba hela ya sigara kitaaAkili zake mbovu huyo,yeye anahisi Mungu anakuadhibu kwa kuzulumu tu.Dharau ndio zimemfikisha hapo alipo,alikuwa na dharau na kujiona mwenye hela,huyo ndio asahau,hatokuja kufika pale alipofika mwanzo.
Dimond hawezi kuja kufulia kiasi hicho,dimond ana busara na anajua kuwa kuna kesho ndio maana hana dharau za kijinga ila watu tu tu wana jaribu kumnukuu vibaya ili aonekane mbaya.
Kama unasubiri dimond afulie kama alivyo fulia huyu ****** basi utangoja sana,Dimond amefanya investments huyu mshenzi yeye alikuwa anafanya starehe tu.