FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
au kununua hisa au dhamana za serikali,
Economician,Mkuu kuwa mchumi sio kujua kila kitu,haya mambo ya uwekezaji yanahutaji ideas pia.
Pia hajapanga ku invest 90M mahali pamoja ndio maana nimeandika huu uzi kuomba ushauri
Shauri afanye nini sasa!Yani 90M yote muitupe kwenye mradi Loh! jina lako ni econometrician haujui au hautambui kwenye biashara kuna Profit and loss? Mtakula nyasi ohoooo
Miksiolojisti, nawe sasa ukijapata mafao uje uitumie hiyo kanuni yako na usiishie kushauri tu.Kwa heshima ya mama yetu mstaafu naomba nimshauri kama ifuatavyo:
Achukue 50m aweke fixed diposit atapata pesa kidogo ya kula kwa kipindi cha mwaka mzima;
Anunue mashamba maeneo ya pwani kama hekari 12 na kuchimba kisima roughly kama 12m;
Apande miti ya korosho kwenye hekari 10 roughly itamgharimu kama 2m (itachukua miaka mitatu kukua awe na subra);
hekari mbili afuge kuku wa kienyeji na kupanda mboga na matikiti maji, mabanda, kuku, na mbegu za matikiti maji na labour inaweza ikamgharimu kama 3m;
Milion 27 iliyobaki afikirie kujenga kajumba cha kizushi huko shamba au anunue gari awe anaenda kuangalia shamba
Mh! Mkuu ukichaa kwa kupata faida kubwa, ama kwa kupata hasara?Ni balaa mkuu, yani mbegu kilo moja unakuta bei ghali zaidi ya 80 elfu.
.
Kuna jamaa angu alimwaga mbegu Dodoma 2016-2017 akapiga hela sana akavuta Noah za biashara tatu, 2017-2018 alipatwa kichaa cha gafla ikabidi alazwe kwa muda, karudia tena mwaka jana mwezi November tunasubiri matokeo
Mkuu mbona hayo ni mambo ya current affairs ambayo yanakupasa kuyajua hata kama havikuhusu?Aiseee mbona sijawahi sikia hiyo?Hebu muulize vizuri....
Ninachojua huwa wanapewa baada ya miezi mitatu kama sijakosea!
Enewei sijafuatilia haya mambo mda mrefu labda ndio mambo ya kikokotoo kipya!
Mkuu usilolijua kweli ni sawa na usiku wa giza!Ni kila baada ya miezi mitatu mkuu dogo kadata, na inategemea haiwezi kufika huko kuna mikopo na mambo mengine mengi
Handbreak....give him a break...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Mkuu, nilivyomuelewa mtoa mada anahitaji zaidi ushauri kuliko mashindano
Unakoelekea anaharibu taswira ya uzi wake.
Give him a break!
Sent using Jamii Forums mobile app
Englishlady kasasambua, na huo ndiyo ukweli.Ukweli ukoje hapa wadau?
Mkuu, guest house iliyokamilika 'full acommodation' mil 60!Take my advise jenga guest house maeneo ya mjini kwa gest kiwango itakula 60mil zinazobaki afungue mradi anaopenda kea vile alikuwa na grosary anaweza kuwa na bar jiran na gest yake
Sent using Jamii Forums mobile app
I see my father. Mungu amusimamie katika maisha yake ya Retirement.Wana JF habari zenu,
Mama yangu baada ya kunusurika na kikotoo ameniomba nimshauri kumpendekezea mradi ambao anaweza akaanzisha na kuusimamia yeye mwenyewe, pesa anazotegemea kupata ni Tshs. 94,000,000.
Fedha anayotegemea kuanzishia mradi ni tshs 90,000,000.
Nimeona ni vyema kuwashirikisha kupata mawazo mbadala, pkwa kuwa ninaamini baadhi yetu wazazi wetu walistaafu na kuanzisha miradi ambayo imekuwa imara na endelevu mpaka sasa.
Mkuu una uzoefu na hii Business mana mie nipo Singida and my Father amestaafu na amepata the same amount of Money. N mie nilikua na idea hiiMwambie afungue mashine ya kukamua alizeti na kuuza mafuta yake...kusaga na kukoboa unga wa mahindi atengeneze bland yake ya kuuza unga na mchele baada ya kufanya packaging...auze chakula cha kuku kutokana na mabaki ya kusaga..afuge na samaki...kesho saa nne asubuhi tajiri tayari...
Hivi akiamua kula bata hiyo milioni kumi inaweza kuchukua kama siku ngapi hadi kwisha?Naomba niungane na watu walioshauri vizuri, huyu mama ameshatumika vilivyo,akili yake imechoka,umri huo wa 60 yrs kinga ya mwili kwa maradhi, imeshuka, ndo maana serikali haimuhitaji tena, mama huyu anahitaji kupumzika, tena mapumziko murua yatakayofanya akili yake irelax, hiyo fedha yake ipo katika risk sana, fixed deposit ktk uchumi huu ambao thamani ya fedha sio stable sana ni shida, just imagine, ameweka fedha bank wakati dola moja ni tsh 2000 na ndani ya mwaka mmoja inakuwa tsh 3000 ina maana purchasing power imeshuka, akinunua nyumba au kujenga pia kuna risk, risk ya moto, pia turnover rate ni ndogo sana, ubishi wa wapangaji nk, kila jambo lina risk, kuna msemo nilisikia wanauchumi wanasema "Do'nt put all your eggs in one burket" hii ina maana sana, usiweke mayai yako yote katika kapu moja, kwa kuwa kapu likianguka mayai yote yatapasuka na hivyo utapoteza yote, mi nashauri achanganye achukue 40m ajenge nyumba ya kupangisha, 30million aweke fixed deposit, 10m anunue mashamba, 10 m aanze kula bata ajiweke vizuri kiafya nk mwisho nyie watt mkae mbali na hiyo hela ya mama, mtagombana, mtapata laana, tafuteni zenu, ahsanteni sana
Sent using Jamii Forums mobile app