MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Unajua nimeshangaa sana: Hivi hapa Tanzania ni kabila gani la kumcheka mwenzake ??? Sisi ni watu masikini mno kuanza kunyoosheana vidole. Inaonekana haya mambo ndiyo wanayazungumza kwenye Circles zao huko....We endelea tu kutetea mambo hata kama ni ya kipumbavu manake leo nimepata jibu kwamba unasukumwa na ukabila!!!
Yap. Kumbe una akili ehe! Unafikiri ikijengwa kwa masharti mazuri kuna mtu ataumia? Mbona hata mimi nitafurahi! Watu tunakataa ujinga wa kusema eti ''tukubali tu kwani wanatoa fedha zao''.Kunitukana mimi hakutazuia bandari ya Bagamoyo kujengwa: Ni suala muda tu na wewe utashuhudia Raisi Magufuli akitia saini na utakuja hapa kumsifia. Hivyo sina wasiwasi kabisa...
Hizi gati saba unazozungumzia ni za general cargo kuna gati tatu 8-11 zinazoendesha na ticts amabzo ni special container terminals...na pia kuna gati ya 12 ya meli za mafutaNimemsikia waziri Kamwele sijui nani akiongea leo kuwa eti Upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam unaoendelea utaiwezesha Bandari ya Dar es Salaam kupokea meli zenye upana mkubwa hadi mita 260 tofauti na sasa ambapo inapokea max mita 200.
Huo unaweza kuwa ukweli na uongo pia.
Bandari ya Dar es Salaam ina berth (gati) 7, na sasa wameongeza moja maalum kwa meli za magari, Itakuwa jumla 8.
Berth no. 1-7 zote zina upana wa wastani wa 190 mita.
Kitachotokea ni kuwa, inapofika meli kubwa, let's say ya 260 mita, meli itafunga kwenye berth mbili kwa wakati mmoja (yaani itatumia mita 190 za Beth moja na ku overlap kwenye berth ya jirani by 80 mita.), hivyo, kuua berth moja haifanyi kazi maana itabakia na upana mdogo usiowezesha meli nyingine kufunga)
Kwa hali ya kuruhusu meli zenye upana mrefu kufunga, bandari imejikuta inahudumia meli wastani wa 4 tu kwa wakati, na kusabanisha msongamano mkubwa sana wa meli kusubiri muda mrefu nje
Kitu kitakachosaidia ktk upanuzi huu, ni kina cha berth (draft) ambapo ilikuwa 8.7m na sasa imeenda hadi 14 mita.
All on all, kwa kitengo cha serikali kuua soko huria kwa kutaka kufanya kazi zote za shipping agent serikali wenyewe, clearing and forwarding agency, bandari hii itabakia kuhudumia mizigo ya ndani tu, maana hakutakuwa na usbindani, na ikumbukwe kuwa private shipping agent zinachangia kiasi kikubwa kutafuta kazi huko nje
Hiyo ni conclusion yako na siwezi kukufanya uamini kivingine. Ila ujinga wa kusema ''tukubali tu wanajenga kwa fedha zao'' ubaki nao huko huko kwenu. Hata barmaid huwa wana akili nzuri zaidi na wanajua mteja akiwanunulia pombe siyo bure per se..We endelea tu kutetea mambo hata kama ni ya kipumbavu manake leo nimepata jibu kwamba unasukumwa na ukabila!!!
Hata yangekuwa ni mabaya, lazima ungekuja kusifia hapa kwasababu ndiyo kula yako hiyo: Utafanyaje sasa wakati huna jinsi ???Yap. Kumbe una akili ehe! Unafikiri ikijengwa kwa masharti mazuri kuna mtu ataumia? Mbona hata mimi nitafurahi! Watu tunakataa ujinga wa kusema eti ''tukubali tu kwani wanatoa fedha zao''.
Ndicho wanachoongea... kwamba wale ni waswahili tu wale! Wale hivi, wale vile! Hata kama ukimchunguza JPM wakati anaingia madarakani, na mwenyewe aliingia na notion hiyo hiyo...kwamba, ukanda huu upo hivi, ule uko vile!!!Unajua nimeshangaa sana: Hivi hapa Tanzania ni kabila gani la kumcheka mwenzake ??? Sisi ni watu masikini mno hata kunyosheana vidole. Inaonekana haya mambo ndiyo wanayazungumza kwenye Circles zao huko....
Haa haa. Safari hii limebuma kwa Zitto. Alizoea good time wakati wa Kikwete. Awamu hii ameona hakuna mwenye time naye akaona aseme ni washamba. Hata kama ni washamba lakini wananchi ndiyo wameamua tena. Wakati wa ''watu wa mjini'' ulikuwa wa Kikwete. na walikuwa watu wa mjini kweli kweli. Sasa mnaona shida gani kuwaachia washamba nao waonyeshe ''ushamba'' wao?Ndicho wanachoongea... kwamba wale ni waswahili tu wale! Wale hivi, wale vile! Hata kama ukimchunguza JPM wakati anaingia madarakani, na mwenyewe aliingia na notion hiyo hiyo...kwamba, ukanda huu upo hivi, ule uko vile!!!
Cha ajabu, savfiri Lindi hadi Kagera, Dar es salaam hadi Kigoma. Kisha toka Ruvuma hadi Mara... kote huko kumejaa umaskini wa kutisha lakini anatokea mtu na akili zake anataka kuaminisha watu kwamba kwao ni matajiri... pathetic!!
Ndo washamba wenyewe anaowangumzia Zitto Kabwe hawa!
Mkabila wewe, huna lolote! Usingehusisha ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo na ukanda!! Kaijengeni Chato basi hiyo bandari! Na unavyosisitiza suala la "...huko kwenu" unaonesha wazi ulivyo na chuki na watu wa maeneo fulani!!Hiyo ni conclusion yako na siwezi kukufanya uamini kivingine. Ila ujinga wa kusema ''tukubali tu wanajenga kwa fedha zao'' ubaki nao huko huko kwenu. Hata barmaid huwa wana akili nzuri zaidi na wanajua mteja akiwanunulia pombe siyo bure per se..
Mashart mazuri kama yale ya ununuzi wa Boti ya Bagamoyo sio?!Yap. Kumbe una akili ehe! Unafikiri ikijengwa kwa masharti mazuri kuna mtu ataumia? Mbona hata mimi nitafurahi! Watu tunakataa ujinga wa kusema eti ''tukubali tu kwani wanatoa fedha zao''.
We jamaa unatia aibu... mjadala wa kitaifa umeugeuza kuwa wa kikanda... pathetic!! Narudia, endelea kutetea hata upumbavu kwa sababu tu unafanywa na mtu wa kwenu!!!Haa haa. Safari hii limebuma kwa Zitto. Alizoea good time wakati wa Kikwete. Awamu hii ameona hakuna mwenye time naye akaona aseme ni washamba. Hata kama ni washamba lakini wananchi ndiyo wameamua tena. Wakati wa ''watu wa mjini'' ulikuwa wa Kikwete. na walikuwa watu wa mjini kweli kweli. Sasa mnaona shida gani kuwaachia washamba nao waonyeshe ''ushamba'' wao?
Kwahiyo ukiambiwa kwamba mradi fulani una-operate under Build-Operate-Transfer, kwako hiyo ni sawa na Free Arabian Cuisine siyo?!
Ndiyo taabu ya wengi. Kila anayeunga mkono pale rais anapofanya mazuri basi ametoka Chato au anatoka CCM. Ndugu yangu wee. Magufuli wala sijawahi kumwona live macho kwa macho. Ni kwenye TV tu. Ila anaponya jambo zuri huwa sisiti kumpa credit. Tafuta michango yangu ya kabla Magufuli hajawa rais uone msimamo wangu ulivyokuwa.Mkabila wewe, huna lolote! Usingeusisha ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo na ukanda!! Kaijengeni Chato basi hiyo bandari! Na unavyosisitiza suala la "...huko kwenu" unaonesha wazi ulivyo na chuki na watu wa maeneo fulani!!
Narudia, huko kwenu ambako mpo smart ni wapi?! Mbona na nyie ni mimaskini tu ya kutupwa? Au hiyo akili mliyonayo inawasaidia kwenye nini ikiwa inashindwa kuwaondolea umaskini?
Hivi kuna ujuha duniani kama kukubali 700 billion out of 425 trillions?! Waliokubali ujuha kama huo ni watu wa pwani wale?! Acha kujifanya kwamba nyie ndo bora wakati wapuuzi tu msio na mbele wala nyuma!! Nchi hii mikataba mingapi ya hovyo hovyo imeingiwa... wahusika ni watu wa pwani?!
Acha chuki wewe!!
Tatizo letu kubwa Watanzania ni kuwafanya viongozi kuwa ndio wenye kufikiri kuliko sisi raia wote.Nimesoma bandiko lako Zitto, lakini umeshindwa kumuelewa Rais Magufuli.
Ni kwamba Mh Magufuli hajakataa maradi wa bandari ya Bagamoyo. Alichokikataa Magufuli ni mkataba haujakaa kwa maslahi ya watanzania. Umekaa kwa maslahi ya wanaoujenga. Kitu ambacho hata sisi watanzania tunamuunga mkono kama mkataba umekaa kiunyonyaji hauna maslahi kwetu kuna haja gani kuendelea nao?
Mradi gani huo ambao serikali haitapata kodi, mradi gani huo ambao kama nchi haturuhusiwi kuendeleza au kujenga bandari nyingine yoyote kwa karne nzima hivi tumelogwa au?
Hapana tuendeleze tu bandari yetu ya Dar, Tanga na nyinginezo taratibu kwa maslahi yetu, badala ya kuwa na miradi feki isiyo na tija kwa nchi.
Huu ni ukoloni kama ukoloni mwingine tu, kama tutauza nchi kirahisi hivi. Kwa hili tumuunge mkono Rais Magufuli kwa maslahi ya nchi yetu. Huu ukoloni mamboleo tuukatae, chochote ambacho hakina maslahi kwetu tukatae.., hivyo hivyo watatuelewa tu.
Mambo ya kuuza rasilimali zetu tunajikuta tu watumwa hapana, hatutaki ya Zambia hapa..
Zitto kwa hii hoja yako itakushushia heshima na malengo yako ya mbeleni. Washauri wenye huo mradi uwe kwa maslahi ya wote. Kama haipo win win hiyo siyo biashara tena ni unyonyaji.
Hicho kichwa siyo kiwango chako.Bro if you don't understand the mechanics of PFI/PPP, it's better to keep quiet.
Kumbe umedandia gari kwa mbele? Ukaja kwa kasi na kusema ''tukubali tu kwani wanajenga kwa fedha zao'' huku umeacha kazi za maana. Haya kwa heri kafanya hizo kazi za maana.We jamaa unatia aibu... mjadala wa kitaifa umeugeuza kuwa wa kikanda... pathetic!! Narudia, endelea kutetea hata upumbavu kwa sababu tu unafanywa na mtu wa kwenu!!!
Ndo maana mkiambiwa makontena yaliyopo bandarini yana dhahabu inayoweza kujaa lori la tani 7, mnapiga makofi na kushangilia lakini mwisho wa siku mnakubali 700Billion tena ya mafungu halafu tena mnashangili! Yaani upande mmoja mnashangilia kuwa na dhahabu inayoweza kujaa kwenye lori la tani 7 halafu baadae mnakuja kushangilia 700B kwa dhahabu ile ile mliyoambiwa inajaa lori kwa sababu tu anayesema ni "poti!"
Aibu sana hii!!
Anyway, Mkuu Malcom Lumumba, endelea na hawa mazuzu wako manake nilikukuta mkipeana vitofa; wacha nifanye kazi za watu manake dah, yaani nimeshangaa sana leo!!!
Hicho kichwa siyo kiwango chako.
Huyo ni mchumi mbobezi.
Tafuta mwingine.
Trust me,Jibu swali, siyo kutoa majibu ya kinyonge hapa. Sitaki akili za kushikiwa. Kama huwezi kujibu, muite Zito aje kujibu hoja.
Trust me,
He's way beyond your pay grade.